Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ndo wanavofikiria kuchuna kutapungua ndo mana Zari anaheshimika pamoja na watoto bado mzuri hata kina Uwoya akina pangu kauka tia mchuzi hawana ubavu.
Hahahahaa ile ndio raha ya kua na ngozi ya mtume ya asili bwana.