AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

Rakim unatoa masomo mengi ya ukweli lakini nashidwa ku practise but this one nitajitahidi kufuatilia shusha nondo
 
Niliwahi kusoma haya mambo kidogo kuna Padre mmoja alinifundisha alikuwa anahitwa Rev.Dr.Aidan Msafiri alikuwa ni mhadhiri Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustino (SAUT), nilisahau baadhi ya vitu leo umenikumbusha kidogo.
 
Niliwahi kusoma haya mambo kidogo kuna Padre mmoja alinifundisha alikuwa anahitwa Rev.Dr.Aidan Msafiri alikuwa ni mhadhiri Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustino (SAUT), nilisahau baadhi ya vitu leo umenikumbusha kidogo.
Karibu Tujadili Na Kufundisha Wengine Pia..

Rakims
 
yaani umequote thread yote kuandika kisentensi kimoja una matatizo ya akili wewe
Nimekukumbuka wewe ni mmoja wa mwenye mafaili milembe hospital.pita hivi[emoji117]
 
Rakims binafsi nakiri wewe ni mwalimu Mzuri saana wa spiritual physics knowledge ila kuna jamaa wengi humu wanalalamika una elements za utapeli...sijathibitisha hilo ila nina mashaka maana lisemwalo lipo na kama halipo.......

Nashauri stay focused and determined kutupa Elimu nzuri ya rohoni we will even pay for it if necessary. Ila kwa sharti la wewe kuwa mwaminifu na mwadilifu kwa maandishi yako haya ya kitaalamu.

Enhee! Shusha sasa mondo za Aura mkuu!!
Sio mahala pa haya maelezo yako! Utasababisha thread ikose mwelekeo
 
Back
Top Bottom