AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

Nimesoma kwa makini sana ila naona maelezo yanaonyesha mimi nimechanganya aura zaidi ya 2[emoji26]
Hapana Aura Yako Ni moja mkuu sema unaigizia nyingine hapo sio yako na ya kukuongoza ni moja tu,
tunarudi pale pale mtu anakua anapenda kula halafu anapendeshwa kuoga vitu viwili tofauti...
naaanisha ulivyojilea umejiweka kwenye aura mbili lakini yako ni moja na utaijua kwa kufungua kichwa zaidi

Rakims
 
AURA nini kilefu chake?

AURA ni neno la lugha ya kilatin kizungu cha katikati lililotoholewa katika kirefu cha mtanuko wa (anga hewa)
Anga Tofauti au mawimbi inayozalishwa na Izungukayo na Kitu,mtu au mahali yenye mvuke wa asili ya hicho kitu/kiumbe
Haina kirefu unachotegemea labda U.S.A au TZ
nadhani umenipata

Rakims
 
AURA nini kilefu chake?
AURA ni neno la lugha ya kilatin kizungu cha katikati lililotoholewa katika kirefu cha mtanuko wa (anga hewa)
Anga Tofauti au mawimbi inayozalishwa na Izungukayo na Kitu,mtu au mahali yenye mvuke wa asili ya hicho kitu/kiumbe
Haina kirefu unachotegemea labda U.S.A au TZ
nadhani umenipata

Rakims
 
Pia zinasaidia kuwasiliana kwa kutumia mind yaani telepathy.Utaweza kukontrol umeme na radi .pia utaweza kuwasiliana na watu uwatakao kAtika ulimwengu wa 4D.
NB:kama wewe si mzoefu usijaribu kupractise cuz utavanish au to be possessed by demons.
huko deep zaidi mkuu waache watu watazame kwanza na kuamua hilo wao wenyewe
 
Ni somo pana zaidi ya pure mathematics kwa sababu hata namba zinatumika kwa Advanced learners .
1.Anza kumeditate
2.Acha kuamini dini yako
3.Follow guidance from within
4.acha kuamini uchawi
5.Follow your feelings
6.Develop your intuition by meditating.
Tafuta thread ya how to meditate then follow procedures
Naona wewe unapotosha na kuvuruga watu sasa hapo kumbe unafahamu vizuri aura au unaleta darasa jipya la kuendesha miale ya mawimbi ya ubongo ongea vitu kwa mapana usifananishe karafuu na kinyesi cha panya mkuu, utaugua ugonjwa wa tauni

Rakims
 
Rakims binafsi nakiri wewe ni mwalimu Mzuri saana wa spiritual physics knowledge ila kuna jamaa wengi humu wanalalamika una elements za utapeli...sijathibitisha hilo ila nina mashaka maana lisemwalo lipo na kama halipo.......

Nashauri stay focused and determined kutupa Elimu nzuri ya rohoni we will even pay for it if necessary. Ila kwa sharti la wewe kuwa mwaminifu na mwadilifu kwa maandishi yako haya ya kitaalamu.

Enhee! Shusha sasa mondo za Aura mkuu!!
Unajua Kuitwa tapeli ni jambo la kawaida sana hasa na watu wasiojielewa hapa penyewe nina group zipo tatu zote zina watu wanaojifunza spirituals wanatuma text kama 50 kwa muda wa dk 1 binafsi naelekea ofisini saa moja subuhi hadi saa moja jioni ofisini kwangu napata muda wa kupokea simu za ofisi tu na narudi saa moja jioni foleni hadi kufika home saa 3 haya niambie huo muda saa ngapi utamaliza group tatu zote na ueleze watu waelewe saa ngapi utaingia jf saa ngapi utafanya family issues so ukiambiwa fanya subira basi subiri kweli so mi tapeli kweli tena sana kutokana na muda masaa mawili kwangu dk 20 taachaje kuitwa tapeli so m ploud kuonekana tapeli kwa wapumbavu wawili watatu huo ndio utapeli wangu kukosa muda tofautisha mtu anaekaa home kwenye sofa na kuangalia tv 24 seven na wewe
now na muda utumieni,, ila soon wa group watatoka tena watakuja kuniita tapeli......................!!! nawakaribisha

Rakims
 
Sure nmeona rangi ya njano wkt naangalia kifuniko cha blue na pia rangi ya kijani wkt naangalia kipande cha karatasi nyekundu. Safi rakims songa mbele
 
M naomba nielezee kwa ufupi ili nianze kufanya pratice
 
Unajua Kuitwa tapeli ni jambo la kawaida sana hasa na watu wasiojielewa hapa penyewe nina group zipo tatu zote zina watu wanaojifunza spirituals wanatuma text kama 50 kwa muda wa dk 1 binafsi naelekea ofisini saa moja subuhi hadi saa moja jioni ofisini kwangu napata muda wa kupokea simu za ofisi tu na narudi saa moja jioni foleni hadi kufika home saa 3 haya niambie huo muda saa ngapi utamaliza group tatu zote na ueleze watu waelewe saa ngapi utaingia jf saa ngapi utafanya family issues so ukiambiwa fanya subira basi subiri kweli so mi tapeli kweli tena sana kutokana na muda masaa mawili kwangu dk 20 taachaje kuitwa tapeli so m ploud kuonekana tapeli kwa wapumbavu wawili watatu huo ndio utapeli wangu kukosa muda tofautisha mtu anaekaa home kwenye sofa na kuangalia tv 24 seven na wewe
now na muda utumieni,, ila soon wa group watatoka tena watakuja kuniita tapeli......................!!! nawakaribisha

Rakims
Mkuuu plz naomba uni add katika hizo group nipate elimu hii adhim mkuu 0713522447
 
Sure nmeona rangi ya njano wkt naangalia kifuniko cha blue na pia rangi ya kijani wkt naangalia kipande cha karatasi nyekundu. Safi rakims songa mbele
Vizuri Sana Mkuu Kazana Na Hatua Hiyo Hadi uweze kuona Kwa Muda Wa Dk Chache umeweza dk ngapi?

rakims
 
Back
Top Bottom