achanganye madudu na mapili pili.. ..Ewaaa...usisahau na mapilipili[emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ni kweli kabisa Auruls Mabele ni mzaliwa wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazaville) na sio Zaire (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) ila Diblo Dibala ni mzaliwa wa Kisangani Zaire na alipokuwa Brussel akamchukua Mabele km muimbaji wa Bendi yake ya Loketonilidhani mabele ni mkongo brazaville
Ndio hivyo mkuu tunasamehe na kusahau ukizingatia ni mzazi,+ kauli ya kuwasifia .Mimi pia,,basi tu yani..Kuna wa mama hawana hekima..
Embu tujikumbushe kidogoHii habari ni ya muda kidogo, japo humu imeingia leo na sasa Mabele alishaanza kufanya mazoezi show ya mwisho aliifanya 2009 huko Paris tena akiwa bado anaumwa.
Niliifuatilia hii habari miaka kadhaa iliyopita, ni hivi huyu jamaa alipoanzisha group la Loketo walikuwa share na Diblo Dibala kama wamiliki!!
Ulipofika muda wa mgao wa faida Diblo
inasemekana akamdhulumu Mabele akachikichia mapato yote na kumuacha mchizi Mabele na visenti tuu hali iliyopelekea kupata stress na mwisho wa siku stroke!!
Sasa mtu kesha broke na stroke juu, mke kajionea mauza uza akasepa! Jamaa kajiuguza kwa shida sana mpaka kupata msaada wa serikali yake.
Ila mpaka dakika za mwisho kulikuwa na amsha amsha ya wasanii nguli wa dance lile la miaka 90 wafanye show wampe msaada, na yeye pia alikuwa ana courage atapona aimbe apate pesa tena. Sikufuatilia baada yaa hapo
Miongoni mwa habari ilowahi kuniumiza aiseee namkubali sana Mabele toka enzi za albam yao ya Extra Ball, ila favourite song yangu ni Choc a Distance!! Mpaka muda huu nikiingia mahali lazima niudunde kidogo.
Kweli maisha hayana formula na kama!! Mabele leo wakutegemea watu wamsaidie, siamini mtu hataaa
Namfananisha na video queen wake mmoja sijui ndio yeyeHatuwezi juwa yeye alikimbia wangapi usikute huyu alimpata kipindi cha mafanikio slay queen as unamuona hapo kama shombe hivi shombe na shida wapi na wapi sababu wenyewe wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Uliuonja vipi mkuu ?Mama kweli wanaupendo ila bwana kutupa vichanga na utowaji mimba nakua na kigugumizi,Nimeonja ukatili wa Mama
Uliuonja vipi mkuu ?
Mwanamke ni kiumbe tofauti sana asee nazidi kumshukuru Mungu kwa kuniumba kidume
Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae.
Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali
"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.
View attachment 895203
Ila wa baba?!Ondoa neno labda, hupaswi kutilia shaka upendo wa mama ( wazazi) haupimiki.
Aurlus Mabele hatoki Congo ya Kinshasa bali ni Congo ya Brazaville.Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae.
Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali
"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.
View attachment 895203
Mkuu genta wewe ni bachela uliyetukuka ?GENTAMYCINE akiwaambieni acheni Kushoboka na Kuoa hawa Viumbe na badala yake muwe ' mnawabandua ' tu na ' Kusepa ' zenu huwa hamnielewi. Nafurahi sana jinsi Wanawake wenu hao mnaojifanya Kuwapenda, Kuwagharamia na Kuwahudumia kwa kila Kitu wanavyowatendeni na kuwateseni hivyo. Safi sana!
Sanaa eti nae leo anakimbiwa na mwanamkeatilemond loketo ooh ooh loketoooo,
edigula emamaee edugula, gulayooo
aisee huyu alikuwa hatari enzi zake