Aurlus Mabele akimbiwa na mkewe

Aurlus Mabele akimbiwa na mkewe

nilidhani mabele ni mkongo brazaville
ni kweli kabisa Auruls Mabele ni mzaliwa wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazaville) na sio Zaire (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) ila Diblo Dibala ni mzaliwa wa Kisangani Zaire na alipokuwa Brussel akamchukua Mabele km muimbaji wa Bendi yake ya Loketo
Aurlus Mabele - Wikipedia, kamusi elezo huru
Bado nyumbani kwao Auruls Mabele ana mke na watoto
 
Hatuwezi juwa yeye alikimbia wangapi usikute huyu alimpata kipindi cha mafanikio slay queen as unamuona hapo kama shombe hivi shombe na shida wapi na wapi sababu wenyewe wanaoana wenyewe kwa wenyewe
 
Hii habari ni ya muda kidogo, japo humu imeingia leo na sasa Mabele alishaanza kufanya mazoezi show ya mwisho aliifanya 2009 huko Paris tena akiwa bado anaumwa.

Niliifuatilia hii habari miaka kadhaa iliyopita, ni hivi huyu jamaa alipoanzisha group la Loketo walikuwa share na Diblo Dibala kama wamiliki!!

Ulipofika muda wa mgao wa faida Diblo
inasemekana akamdhulumu Mabele akachikichia mapato yote na kumuacha mchizi Mabele na visenti tuu hali iliyopelekea kupata stress na mwisho wa siku stroke!!

Sasa mtu kesha broke na stroke juu, mke kajionea mauza uza akasepa! Jamaa kajiuguza kwa shida sana mpaka kupata msaada wa serikali yake.

Ila mpaka dakika za mwisho kulikuwa na amsha amsha ya wasanii nguli wa dance lile la miaka 90 wafanye show wampe msaada, na yeye pia alikuwa ana courage atapona aimbe apate pesa tena. Sikufuatilia baada yaa hapo

Miongoni mwa habari ilowahi kuniumiza aiseee namkubali sana Mabele toka enzi za albam yao ya Extra Ball, ila favourite song yangu ni Choc a Distance!! Mpaka muda huu nikiingia mahali lazima niudunde kidogo.

Kweli maisha hayana formula na kama!! Mabele leo wakutegemea watu wamsaidie, siamini mtu hataaa
Embu tujikumbushe kidogo

 
Hatuwezi juwa yeye alikimbia wangapi usikute huyu alimpata kipindi cha mafanikio slay queen as unamuona hapo kama shombe hivi shombe na shida wapi na wapi sababu wenyewe wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Namfananisha na video queen wake mmoja sijui ndio yeye
Kuna nyimbo jamaa ana mke na mtoto mdogo ila akawa anachepuka na mrembo mmoja mweupe kama huyu na sura kama hii ila mwembamba
 
Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae.

Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali

"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.

View attachment 895203

GENTAMYCINE akiwaambieni acheni Kushoboka na Kuoa hawa Viumbe na badala yake muwe ' mnawabandua ' tu na ' Kusepa ' zenu huwa hamnielewi. Nafurahi sana jinsi Wanawake wenu hao mnaojifanya Kuwapenda, Kuwagharamia na Kuwahudumia kwa kila Kitu wanavyowatendeni na kuwateseni hivyo. Safi sana!
 
Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae.

Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali

"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.

View attachment 895203
Aurlus Mabele hatoki Congo ya Kinshasa bali ni Congo ya Brazaville.
 
GENTAMYCINE akiwaambieni acheni Kushoboka na Kuoa hawa Viumbe na badala yake muwe ' mnawabandua ' tu na ' Kusepa ' zenu huwa hamnielewi. Nafurahi sana jinsi Wanawake wenu hao mnaojifanya Kuwapenda, Kuwagharamia na Kuwahudumia kwa kila Kitu wanavyowatendeni na kuwateseni hivyo. Safi sana!
Mkuu genta wewe ni bachela uliyetukuka ?
 
Back
Top Bottom