Aussems arudia maneno kama ya Rage: Ili Simba iendelee inahitaji kuachana na Viongozi Waongo na Vilaza

Aussems arudia maneno kama ya Rage: Ili Simba iendelee inahitaji kuachana na Viongozi Waongo na Vilaza

Nyie vyura! mbona naona kama hata huyo Mkwasa mnataka kumtimua? Acheni kujadili ya Aussems bali jadilini yanayowahusu, hasa namna ya kuwapa rupia waamuzi ili waendelee kuwabeba (kama yule aliwabeba juzi dhidi ya KMC).

Jadilini pia mtawezaje kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa kutoka 4 - 0 hadi 3 - 1 kwenye mechi ijayo ya Simba vs Yanga.
Kwa sababu la Zehera liliwahusu sana kwa maana ya mpira. The same logic applies.
 
Simba aliikuta na ameiacha, viongozi wa simba wote ni wasomi na madgree, anavyosema hawasoma anamaanisha nani?
 
Let us be honest.
Mshahara wake wa million 27 kwa mwezi na hakuna mpira wa Champions League, ni hasara kubwa. Mhindi kaona isiwe tabu.
Tayari Matola kachukuliwa. Sidhani kama salary yake itabidi 5M. Walipata kocha Mkuu wa kumlipa 10M, kuna chenji itabaki Kwenye mshahara wa Aussems.

Million 27 kwa mechi za Ndanda, Coastal Union, Alliance etc ni hasara. Angalau timu ikiwa kwenye Champions League na ikafika mbali, kuna hela inarudi.
 
Simba aliikuta na ameiacha, viongozi wa simba wote ni wasomi na madgree, anavyosema hawasoma anamaanisha nani?
Mkuu, hayo maneno ya hovyo hovyo wala hayajatamkwa popote na Aussems. Ni wazandiki fulani ndo wanayazusha hayo. Aussems na professionalism yake ile hawezi kuzungumza kama layman namna hiyo.
 
Yanga kuna wajinga wengi..Msolla

Yanga ni wajinga mutu anapenda Yanga kuliko muke yake....Zahera
 
ni kweli viongozi wa Simba wengi uelewa wao wa mpira ni mdogo wakati Rais ni Nkwabi hatukuwahi kusikia akiropoka ropoka ovyo pia habari nyingi zilikuwa zikifika kwenye vyombo vya habari baada ya maamuzi kufanyika ila huyu Kaduguda amekuwa anatoa siri kiasi cha kwamba magazeti yalikuwa na habari za kufukuzwa kocha wiki tatu kabla, kuna huyu meneja wa Simba Patrick Rweymamu alikuwa anabishana na kocha kuhusu nani afanyiwe mabadiriko mwisho upuuzi wa viongozi tumeouona kwenye usajili walioufanya hawakuzingatia ripoti ya kocha bali walifata mapenzi yao binafsi isitoshe kocha aliwaambia kocha wa makipa anatakiwa kuongeza ujuzi lakini hawakufata masharti yoyote halafu wanalalamika kocha hatoi ripoti yoyote wakati wakipewa ripoti hawatekelezi Mo amekuja kutafuta jina tu Simba sasa hivi ameona gharama zimezidi anatafuta sababu
 
Yanga kuna wajinga wengi..Msolla

Yanga ni wajinga mutu anapenda Yanga kuliko muke yake....Zahera
Mjinga ni asiyejua. Liar, uneducated plus mbumbumbu ni funga kazi.
 
Nimesoma mahali kuwa Ausems amefunguka juu ya usajili kuwa mchezaji aliyempendekeza na akasajiliwa ni Kahata peke yake na vile vile hakutaka Okwi na Kotei waondoke na hata wabrazili hakuwapendekeza yeye na hawana uwezo wa kucheza ligi ya Afrika. Iwapo hii taarifa ni kweli na si uzushi wa mwandishi basi nafikiri Simba kuna tatizo kubwa sana. Kama pamoja na uwepo wa MO mambo ya hovyo kiasi hiki yanafanyika kwenye usajili basi tuliotegemea Simba iende anga za TP Mazambe, Alhaly, n.k. tutakuwa tunaota ndoto za mchana.

Klabu kubwa kama Simba inatakiwa iwe na timu ya watu watatu mpaka watano kwa ajili ya kufanya scouting ya wachezaji ndani na nje ya nchi ambayo itakuwa inafanya kazi kwa ukaribu na benchi la ufundi. Mwisho wa siku kocha mkuu ndiye awe mwenye uamuzi wa mwisho nani asajiliwe na sio viongozi.
Hiyo timu ya akina Okwi Aussems alipikiwa na watangulizi wake akina Leschante et al, yeye amekuta kikosi chote kipo vizuri akawa anatembea kwenye mafanikio ya wenzake mpaka klabu bingwa Africa.

Kabadilishìwa wachezaji kidogo tu kashindwa yeye kutengeneza timu na kuongeza vipaji vya wachezaji, kutwa kulalamika.

Ajib alikuwa best assistant kwenye kufunga magoli akiwa Yanga, leo kwa Aussems ameflop.

Akina Mkude na Chama, naona viwango vinashuka day in day out. Aussems alitembelea mafanikio ya wenzake waliopita ambao nao pia walinunuliwa wachezaji na uongozi ila walijua kuwatumia japo si support kocha kuchaguliwa wachezaji.

Frankly speaking Simba ya sasa haina mchezaji mbovu. Ngoja waje akina Matola ndio utajua Simba ina mafundi wa mpira.
 
Kwa miaka zaidi ya 10 simba ilikuwa ikiongozwa na wenyeviti wasio na degree lkn Yanga walikuwa wanazo km issue ni kuwa na degree.
Simba aliikuta na ameiacha, viongozi wa simba wote ni wasomi na madgree, anavyosema hawasoma anamaanisha nani?
 
Let us be honest.
Mshahara wake wa million 27 kwa mwezi na hakuna mpira wa Champions League, ni hasara kubwa. Mhindi kaona isiwe tabu.
Tayari Matola kachukuliwa. Sidhani kama salary yake itabidi 5M. Walipata kocha Mkuu wa kumlipa 10M, kuna chenji itabaki Kwenye mshahara wa Aussems.

Million 27 kwa mechi za Ndanda, Coastal Union, Alliance etc ni hasara. Angalau timu ikiwa kwenye Champions League na ikafika mbali, kuna hela inarudi.
Sasa mechi hizo si ndio zinawapeleka huko Caf ?

Yaani km mhindi kapiga hesabu hizo basi timu itamshinda mapema

Simba waje Tp Mazembe tuwape darasa naona lile la mwanzo hawajaelewa

NB: mhindi akitulia timu itatulia ,amkabidhi timu Senzo

Hivi uwanja bunju unazinduliwa lini?
 
ni kweli viongozi wa Simba wengi uelewa wao wa mpira ni mdogo wakati Rais ni Nkwabi hatukuwahi kusikia akiropoka ropoka ovyo pia habari nyingi zilikuwa zikifika kwenye vyombo vya habari baada ya maamuzi kufanyika ila huyu Kaduguda amekuwa anatoa siri kiasi cha kwamba magazeti yalikuwa na habari za kufukuzwa kocha wiki tatu kabla, kuna huyu meneja wa Simba Patrick Rweymamu alikuwa anabishana na kocha kuhusu nani afanyiwe mabadiriko mwisho upuuzi wa viongozi tumeouona kwenye usajili walioufanya hawakuzingatia ripoti ya kocha bali walifata mapenzi yao binafsi isitoshe kocha aliwaambia kocha wa makipa anatakiwa kuongeza ujuzi lakini hawakufata masharti yoyote halafu wanalalamika kocha hatoi ripoti yoyote wakati wakipewa ripoti hawatekelezi Mo amekuja kutafuta jina tu Simba sasa hivi ameona gharama zimezidi anatafuta sababu
Wewe jamaa ni nabii na sababu ameshaipata.
 
Back
Top Bottom