Mtibwa wamedhihirishaIngawa kuna Mo lakini simba ni ILE ILE
Maneno ya aussems yanachona sana has a kwa kina manara.Simba aliikuta na ameiacha, viongozi wa simba wote ni wasomi na madgree, anavyosema hawasoma anamaanisha nani?
Manara na kadugudaSimba aliikuta na ameiacha, viongozi wa simba wote ni wasomi na madgree, anavyosema hawasoma anamaanisha nani?
Huu ndio ukweli halisi. Bodi yetu imejaa wale viongozi wa zamani wa Simba ambao kwa kiasi kikubwa hawana weledi kabisa na football professionalism zaidi ya siasa za majitaka za mpira wa TanzaniaAliyekuwa kocha wa Simba SC, Patrick Aussems 'Uchebe' amesema ili klabu hiyo, iendelee inatakiwa kuachana na viongozi waongo na wasiokuwa na uelewa katika bodi yake ya wakurugenzi.