Australia kuzuia watoto chini ya umri ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii

Australia kuzuia watoto chini ya umri ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Serikali ya Australia imetangaza mpango wa kuanzisha sheria inayozuia watoto chini ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii

Hatua ya kuanzisha sheria hii ni kwa lengo la kupunguza athari zinazotokana na matumizi ya mitandao hiyo.

Aidha, serikali imesema sheria hiyo haitahusisha watoto ambao tayari wanatumia mitandao ya kijamii
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema hakutakuwa na adhabu au faini kwa kuwa wadhibiti mitandao nchini humo wa Kamishna ya usalama mtandaoni (eSafety) watatekeleza sheria hiyo kikamilifu

Aidha wanaharakati wa kutetea haki za watoto Australia wamepinga sheria hii wakidai serikali ihakikishe mitandao ya kijamii ni salama kwa watoto kwani kupitisha sheria hii itazuia watoto kuelewa kuhusu mitandao

==============For English Audience=============

Australia's government says it will introduce "world-leading" legislation to ban children under 16 from social media.

Prime Minister Anthony Albanese said the proposed laws, to be tabled in parliament next week, were aimed at mitigating the "harm" social media was inflicting on Australian children.

"This one is for the mums and dads... They, like me, are worried sick about the safety of our kids online. I want Australian families to know that the government has your back," he said.

While many of the details are yet to be debated, the government said the ban will not apply to young people already on social media.

There will be no exemptions on the age limit for children who have consent from their parents. The government says that the onus will be on social media platforms to show they are taking reasonable steps to prevent access.

Albanese said there would be no penalties for users, and that it would be up to Australia's online regulator - the eSafety Commissioner - to enforce the laws.

The legislation would come into force 12 months after it passes and be subject to a review after it's in place.

While most experts agree that social media platforms can harm the mental health of adolescents, many are split over the efficacy of trying to outlaw them all together.

Some experts argue that bans only delay young people's exposure to apps such as TikTok, Instagram and Facebook, instead of teaching them how to navigate complex online spaces.

Previous attempts at restricting access, including by the European Union, have largely failed or faced backlash from tech firms. And questions remain over how implementation would work given there are tools which can circumvent age-verification requirements.

One of Australia's largest advocacy groups for child rights has criticised the proposed ban as "too blunt an instrument".​

In an open letter sent to the government in October, signed by over 100 academics and 20 civil society organisations, the Australian Child Rights Taskforce called on Albanese to instead look at imposing "safety standards" on social media platforms.
 
Ni wazo zuri sana. Liwekewe mpango mzuri wa utekelezaji

Tusipowadhibiti watoto mapema nini wanachopaswa kujua tutajikuta tumechelewa sana
 
Back
Top Bottom