Avalon cinema

..Avalon Cinema ilikuwa mali ya baba yake Al-Noor Kassum. Nadhani baadae jengo hilo lilitaifishwa na serekali.
JokaKuu,
Baba yake Al Noor Kassum kweli ndiyo alikuwa mmiliki wa Avalon Cinema na akajenga na Amana Cinema Ilala kwa ajili ya Waafrika.

Huyu Mzee Kassum ndiye alikuwa Muki wa jamii ya Ismailia Tanganyika.

Mwanae, Al Noor Kassum ndiye aliyemtetea Ally Sykes 1955 kwenye kesi aliyobambikiwa na Waingereza Moshi kumshikisha adabu kwa kuunda TANU.

Waingereza walimtumia Joseph Kimalando.

Ngoja niingie Maktaba nitakuwekea movie nzima In Shaa Allah.

Kuna kisa kingine very interesting cha Mercedes Benz ya Aga Khan ambayo Ismailia waliamua kuiuza baada ya kumnunulia Aga Khan Benz nyingine.

Iliamuliwa kuwa hii Benz asiuziwe Ismailia yeyote bali iuzwe kwa mtu mtu maarufu na mwenye hadhi yake katika Waafrika wa Tanganyika.

Benz hii alinunua Abdulwahid Sykes na alikaanayo hadi alipofariki 1968.
Mercedes Benz 280S yenye usajili DSQ 666.
 
sasa hizo nyimbo na filamu zinamchango gani kwa 'allah'?
badala uende ukaimbe kaswida wewe unaenda kutazama makafiri?hicho ndicho ulichokuwa unafundishwa madrasa??
 

Joseph Kimalando alikuwa ni nani?
 
Louis Armstrong museum ipo pale Queens, New York
Nilipata bahati ya kufanya ziara fupi na nilijifunza mengi sana
 
Louis Armstrong museum ipo pale Queens, New York
Nilipata bahati ya kufanya ziara fupi na nilijifunza mengi sana
Sherrif,
Nasikitika sikufika lakini jana Prof. Google kanichukua katika tour u tube.

Nyimbo yangu ya kwanza kuisikia ya Armstrong ni ''Skokian,'' ilikuwa katika
Maktaba ya marehemu baba tena ni yale madisc makubwa 78 RPM kwa
bahati mbaya ikikuponyoka umeivunja.

Hivi sasa nyimbo ninayoipenda ya Satchmo ni ''My One and Only Love.''
 

JokaKuu,
Nilikuahidi kisa cha Joseph Kimalando.

‘’…I was able to convince Hamza Aziz and Iddi Mwajasho to attend the Machame meeting in which Nyerere spoke. Hamza Aziz and Mwajasho were young police officers stationed at the Police Training College. After this meeting the two were reprimanded by the government for getting involved in politics contrary to service regulations. In organising the Machame meeting I had earned for myself the wrath of the colonial administration.

Soon after this meeting I was arrested for allegedly taking bribes. One day a white officer and an African Inspector walked into my office and arrested me. There was no evidence to back the allegations. I was suspended and taken to court for on trumped up corruption charges. One of the people who was used by the government to frame me was Joseph Kimalando, one of the TANU founding members from Northern Province. I had crossed swords with Kimalando when we were transforming TAA into TANU at the headquarters. I had backed Yusuf Olotu and other patriots and advised them to side-line him and register the new party. Kimalando although wasAlthough among the founders of TANU in Dar es Salaam, once back in Moshi he Kimalando refused to register the party in Kilimanjaro.

Reports reaching TANU headquarters were that Kimalando was collaborating with the colonial government to frustrate registration of the party. He was ousted from the party and he joined UTP.


Sheikh Hussein Juma Vice President United
Tanganyika Party (UTP)


Kimalando was a seasoned politician having been in politics since the early days of the African Association. Kimalando He claimed to be among the founder members of the Association together with Sheikh Hussein Juma who was later to be Vice President of the United Tanganyika Party, UTP, an opposition party formed by the British to oppose TANU. When I was transferred to Moshi from Korogwe in 1957 Kimalando, then outside the main stream of the struggle and a member of the UTP, framed me against the government.


Bi Mruguru bint Mussa

My mother, Bi. Mruguru bint Mussa and my brother Abdulwahid contacted Al Noor Kassum recently returned from studies in Britain where he had studied law to defend me. Our parents had known each other in Dar es Salaam for many years. My father in his early business carrier career had tried to join the Chamber of Commerce, which was dominated by Indians at that time. My father could not fit in that all Indian organisation and left to form his own African Traders Association, which was short-lived. It is during that period at the Chamber of Commerce that he came to be acquainted to Al Noor Kassums’s father.

Al Noor Kassum flew to Moshi by a Dakota plane of the East African Airways from Dar es Salaam and appeared in court the following day. The two policemen who had arrested me did not appear in court but the magistrate asked the prosecutor to proceed with the case. Kassum objected to that and insisted that the two police officers who had made the arrest must appear as witnesses. For some unknown reasons the prosecution was not very keen to have the two policemen interrogated by my defense council and the magistrate had no choice but to dismiss the case. By then I had been suspended from work for six months. I was given four months leave from work and I used this opportunity to go to Accra to attend Ghana’s independence celebrations in 1957.''

(''Under The Shadow of British Colonialism: The Life of Ally Sykes,'' by Ally Sykes and Mohamed Said). Unpublished.
 
Nimesikia kuwa Satchmo aliwahi kufanya ziara Tanganyika miaka ya 1960s?
 
Halafu MTU anatokea anasema ccm haijafanya chochote kwa miaka50
 
Halafu MTU anatokea anasema ccm haijafanya chochote kwa miaka50
Mmmmh,mambo yenu ya siasa mi simo kabisa. Halafu mambo mengine hutokea by default tu kwa sababu naamini hata kama siyo CCM,bado kwa kuwa watu wapo,mambo yangefanyika tu,ili mradi tunaishi,tungejiwekea utaratibu na bado tungesonga. Mimi kipekee naamini katika Utaifa kuliko hayo mambo yenu ya Siasa.
 

Mheshimiwa,

Mbona nyuma yako kunaonekana kama vile kuna nyumba na siyo soko, tena nyumba iliyozungukwa na miti pembeni.
 

Umenikumbusha Mithun akiimba love in Goooooah....Ooooh oooooooh.
 
Umenikumbusha Mithun akiimba love in Goooooah....Ooooh oooooooh.
Subir...
Dunia yangu yote ilikuwa kwanza Mtaa wa Kipata...
Dunia yangu ilikuwa unazunguka hapo na kama vile naiona katika 1950s.

Nilipopata makamo nikawa sasa nakuja mjini tukiita Uzunguni tukipita
Uhindini.

Huko tukipita njia tu na ndiyo maana sina kumbukumbu unazotaka kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…