Avalon cinema

Avalon cinema

Gb_3ti3Q9ndal7Fqo01sMc0JVjF6yMzMMKkPLYdGccELo-yKqEoVWI3tbFINCfWjVceD7cBjKuLk39T0F-5aaiHnW4FtcKz4fbtoAejcJMGIGwpuO-loz-0CT8Wc2BO9jcvGuqbSZkQyV1kogGi6P6OSTg_WGXLODdXfRzvjDaFwpbQC4W7VtaYeZwbXL4Kj2TSgUKr4-kxwWsKxWCtv0jbQREh9wyLjUQ3g88Fp1v0liiZjrjhsIatbUJ54EiEq9ixALBHJk9E9BKOBi8_ofSPIrZly1EHJe6OlP8G2d0nC9QutmuOK26tcbzZRhhd3pv1IKR8JsQ0PyelbpLch-6VuMdvu-4ZmHkvKQ_JNIXXENxI8IiwlD8ZL0dHcTLgqWlZJ_-b7AqEQjuqwwamIUS-tOT4oL8i08g83zuQ7l_4HiyhIt7hS3AfQhq4w0e67bAvo2BpChS4MSvApenyz1bfzD7ErvuLOBFoEU4sDDTFj2UtiV1dLDlCEGu1vg7IKvXuf3oxTjOgWAoDOPPefSSD3XaePJnqkIELoeJkUAgPpTL5NSfk3CFLTecWQE_4Fyy4doB53TlxoyM1jZjzZkCel936YgfHZTNxGzGJlrT5N6On1z-_67Q=w236-h298-no

Satchmo akiwa duka la Mzee Mahmoud hili
lilikuwa duka likiuza records Mtaa wa Acacia
Avenue sasa Samoro Avenue.

..Baba yake Al-Noor Kassum alikuwa na duka kubwa Acacia Avenue/Samora Avenue. Nitakuulizia duka hilo liliitwa nini, huenda ukalikumbuka.
 
..Baba yake Al-Noor Kassum alikuwa na duka kubwa Acacia Avenue/Samora Avenue. Nitakuulizia duka hilo liliitwa nini, huenda ukalikumbuka.
JokaKuu,
Sikuwa na taarifa hizi.
In Sha Allah.
 
Nashukuru kwa dua zenu ndugu zangu wote. Amin kwa sote
 
sasa hizo nyimbo na filamu zinamchango gani kwa 'allah'?
badala uende ukaimbe kaswida wewe unaenda kutazama makafiri?hicho ndicho ulichokuwa unafundishwa madrasa??
Kwanza ww umeona qasida ndo zitamuingiza mtu peponi acha mambo yako ww. qasida ni uzushi kwanza, usitake tuzame kwenye dini na wakati tupo hapa kurefresh akili na mambo ya kale
 
Mmmmh,mambo yenu ya siasa mi simo kabisa. Halafu mambo mengine hutokea by default tu kwa sababu naamini hata kama siyo CCM,bado kwa kuwa watu wapo,mambo yangefanyika tu,ili mradi tunaishi,tungejiwekea utaratibu na bado tungesonga. Mimi kipekee naamini katika Utaifa kuliko hayo mambo yenu ya Siasa.
la msingi sana mkuu
 
Back
Top Bottom