Avatar yangu imenikosesha warembo wa Jf niliowafuata pm

Avatar yangu imenikosesha warembo wa Jf niliowafuata pm

Leo November 11ni birthday yangu nimeona pamoja na kujitathmini kimaisha, si vibaya nikatathmini mustakabali wangu kama member wa Jf.

Kwa muda mrefu nilikuwa nawafuata pm baadhi ya warembo wa Jf ambao nilivutia nao hasa kwenye michango yao kwenye thread mbalimbali.
Kinachonikuta huko ni siri yangu, mana wengi wananiponda na kunambia nina akili kama avatar yangu.
Kiukweli hiyo avatar/profile picture yangu haina uhusiano kabisa na akili wala sura yangu!!
Warembo!! Mimi ni handsome boy sana, nikiwafuata pm msidhani mmefuatwa na nguruwe.. Na wala sina mpango wa kuibalisha...tuvumiliane.

Wewe umejuaje kama wao ni warembo kwa maana ile ya mashindano ya Miss Tanzania?
 
mkuu, kumbe ndo weweeee..!, kuna warembo jinsia ya kike walileta Uzi wa kulalamika kufwata PM na kutongozwa na ME, na kila MTU akawa anamtupia mpira mwenzake, kwa hiyo umeleta mrejeshoo, sasa subiri wake wathibitishee kama we ni mmoja wapo, na hiyo avatar yakoo, lazima ulikataliwa tuuuu
Si mimi mkuu
 
Leo November 11ni birthday yangu nimeona pamoja na kujitathmini kimaisha, si vibaya nikatathmini mustakabali wangu kama member wa Jf.

Kwa muda mrefu nilikuwa nawafuata pm baadhi ya warembo wa Jf ambao nilivutia nao hasa kwenye michango yao kwenye thread mbalimbali.
Kinachonikuta huko ni siri yangu, mana wengi wananiponda na kunambia nina akili kama avatar yangu.
Kiukweli hiyo avatar/profile picture yangu haina uhusiano kabisa na akili wala sura yangu!!
Warembo!! Mimi ni handsome boy sana, nikiwafuata pm msidhani mmefuatwa na nguruwe.. Na wala sina mpango wa kuibalisha...tuvumiliane.
Hawajakosea!
we mtu gani unayevutiwa na mrembo just kwa comments zake za JF.
kwanza unajuaje kuwa unayechat naye side B ni mwanamke?
hata wewe mwenyewe haijulikani kama ni ke au me!
nawapongeza wote waliokulinganisha na Avatar yako!
 
Umekosea kuweka picha nguruwe, ungeweka kitimoto na bia ungewapata wengi sana,
unajua madem wengi wa dar hawajui kitimoto ni nyama ya mnyama gani?
 
Leo November 11ni birthday yangu nimeona pamoja na kujitathmini kimaisha, si vibaya nikatathmini mustakabali wangu kama member wa Jf.

Kwa muda mrefu nilikuwa nawafuata pm baadhi ya warembo wa Jf ambao nilivutia nao hasa kwenye michango yao kwenye thread mbalimbali.
Kinachonikuta huko ni siri yangu, mana wengi wananiponda na kunambia nina akili kama avatar yangu.
Kiukweli hiyo avatar/profile picture yangu haina uhusiano kabisa na akili wala sura yangu!!
Warembo!! Mimi ni handsome boy sana, nikiwafuata pm msidhani mmefuatwa na nguruwe.. Na wala sina mpango wa kuibalisha...tuvumiliane.
aisee nimecheka sana
 
Back
Top Bottom