Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji736]Warembo wanatakiwa watambue kuwa sisi tunaoweka avatar za hovyo hovyo sio watu wa mchezo mchezo.
Tunapata tabu na kuhukumiwa kutokana na avatar zetu
Avatar mbovu ndio zipo aje..[emoji45]Acheni kuweka avatar mbovu mnawatisha masister du
Hata yule wangu hajawahi kutofautisha hizi mambo aiseeee....[emoji23]Umekosea kuweka picha nguruwe, ungeweka kitimoto na bia ungewapata wengi sana,
unajua madem wengi wa dar hawajui kitimoto ni nyama ya mnyama gani?
[emoji115] [emoji115] [emoji115] hebu angalia tena avatar yako mzee wa UshiromboAvatar mbovu ndio zipo aje..[emoji45]
labda hunipendi ndio maana unanitenga
Ohooooo......[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hahaha kama yako kaka 😀 😀 😀
[emoji115] [emoji115] [emoji115] hebu angalia tena avatar yako mzee wa Ushirombo
Hata naiona iko poa.Ohooooo......[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mbona minaona ipo sawa tu..!!
Leo nime gundua kwanini hua nakataliwa na wadada aiseeee [emoji12] [emoji12]Hata naiona iko poa.
Tatizo mabinti humu si unajua tena
Badilisha mara moja. Halafu wafate PM uone itakuaje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo nime gundua kwanini hua nakataliwa na wadada aiseeee [emoji12] [emoji12]
labda hunipendi ndio maana unanitenga
Kwa hiyo nichague moja ?Sasa kwahiyo avatar picha ninayokuvutia ni balaa tupu! Ukijumlisha na unavyomchukia kipenzi changu ndio kabisaaaa!! Naanzaje kukupenda.
Mmmmh!! Usichague, maana hilo jibu!Kwa hiyo nichague moja ?
hilo jibu limefanyajeMmmmh!! Usichague, maana hilo jibu!
Halichelewi kuwa la 'wewe ni wa hovyo hovyo'hilo jibu limefanyaje
kwani hulipendi auHalichelewi kuwa la 'wewe ni wa hovyo hovyo'
Silipendi.kwani hulipendi au
hata nikiwaambia watu wengineSilipendi.