Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Jamani huu unafiki mnaosema unatokea wapi? wakati yeye mwenyewe Carmel amekiri kuwa AVATAR inamletea matatizo na ushahidi anao.Vinginevyo Carmel unatuzushia na hii thread azawaiz hakuna cha unafiki hapa.Avatar ni kichocheo kwa wengi.ukiibadilisha nitakushangaa sana.
anaejifanya ina mkwaza ni mnafiki kupita kiasi.
kwenye tv na mitaani tunaona migongo mingapi iliyo wazi?
sembuse hiyo picha tena ya kuchora????
mimi naona humu jf kuna unafiki wa walokole
umeingia humu,
mtu huwezi hata kuzungumza kitu,
watajifanya wanamjua Mungu kuliko Mungu mwenyewe.
ooow haha lol I will kill u... how dare u talk about my avatar like that...
hahahaaaaaaaaaaaa ................a lady of "men and their brain"...............sasa kama avatar hzina matatizo kipsychologia, why do you like to kill me????
mmh nashangaaa .............jamani mbona hivi tena???Jamani vp tena?
hehehe!kapigwa za uso na charity kwenye sredi yake...!sasa kaja na tu-hasira hasira twake hapa,lol!MA-LIJENDI BANAJamani vp tena?
[B said:bht [/B];810267]
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah umeanza tena eeeh!!!???
unajua huyu dada anapenda sana kutukandia wanaume, anatumia kamsemo ka kinyamwezi eti "men and their brain" sasa kisaikologia avatar zina mashiko makubwa sana ......................... ndio maana unashtuka dear................ maslimie mchumba wangu, nimeishamuona anachungulia hapa lakini naogopa kumsalimia. si ulisema mkali................????//// nisaidie kuniunganisha please..............
mwnzangu watu wanataka kunitoa macho huku kwenye pm lol! mie mke wa mtu siuzi! am not available at all. kuna kufuli😀
unajua huyu dada anapenda sana kutukandia wanaume, anatumia kamsemo ka kinyamwezi eti "men and their brain" sasa kisaikologia avatar zina mashiko makubwa sana ......................... ndio maana unashtuka dear................ maslimie mchumba wangu, nimeishamuona anachungulia hapa lakini naogopa kumsalimia. si ulisema mkali................????//// nisaidie kuniunganisha please..............
mmh hali ya hewa sio nzuri leo.......ngoja nikanywe maji kwanza
hahaha sijui kwenye jina pale labda kunatakiwa tuweke Mrs carmel or Mrs Firslady ,,Mama Charity ,Commited bht..Wifetobe -Pearl
Labda !!!
Yalishaisha!sasa yeye kumbe anakijiba cha roho kakibeba KWAPU KWAPU mpaka huku.ndo maana kaingia na gia kubwa...!wataalamu tukawa tunamsoma mchezo tu.Basi wajameni, acheni hizo.
hahahaaaaaaaaaaaa ................a lady of "men and their brain"...............sasa kama avatar hzina matatizo kipsychologia, why do you like to kill me????
Na mtu anapoweka hiyo avatar anategemea kitu fulani au anaichagua kwa sababu fulani,
sasa kama watu watazidisha hizo PM si una kula jiwe tu... nini tena ??
hapo ndo mtakuwa mmeharibu!uzoefu unatuthibitishia kwamba hakuna wanawake wenye mvuto KAMA WAKE ZA WATU!.....ha haaaaaaaaaaaaa, una akili sana wewe lol! would that help?
aahhhahahahah.yani FL1 umenichekesha kweli.pengine hiyo itasaidia.afu wengi huwa ukiwaambia nina mme,au watoto au engaged utaona na Pm zimekata.Ni tabu tupu.hahaha sijui kwenye jina pale labda kunatakiwa tuweke Mrs carmel or Mrs Firslady ,,Mama Charity ,Commited bht..Wifetobe -Pearl
Labda !!!
unajua huyu dada anapenda sana kutukandia wanaume, anatumia kamsemo ka kinyamwezi eti "men and their brain" sasa kisaikologia avatar zina mashiko makubwa sana ......................... ndio maana unashtuka dear................ maslimie mchumba wangu, nimeishamuona anachungulia hapa lakini naogopa kumsalimia. si ulisema mkali................????//// nisaidie kuniunganisha please..............
usianze kunisema mie nakusikia...😀
sasa nyie hata avatar zinawagusa... lol... this shows how ur brain function... sisi wanawake tunakuwa hatukusidii hivyo... hata ukivaa nguo ukapendeza mijitu itaaanza kukubore kama umewavalia wao... 😕
hahaha sijui kwenye jina pale labda kunatakiwa tuweke Mrs carmel or Mrs Firslady ,,Mama Charity ,Commited bht..Wifetobe -Pearl
Labda !!!
Tena wewe big brother, nilishawahi hata kuku-consult kwa swala hili, unakumbuka? kwani wanaume mkoje?