Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani kuna watu wanaidadi bwana,mabasi matatu ya HOOD ameshapita nayo napo hapo sio levo seat na wa kusimama wamo humo.Kwa mazingira ya sasa hivi inawezekana kweli hii?
ha ha ha,hapo kweli..Haiwezekani kuna watu wanaidadi bwana,mabasi matatu ya HOOD ameshapita nayo napo hapo sio levo seat na wa kusimama wamo humo.
Unataka kujua ili iweje?
au umejiskia tu kuanzisha sred? upuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzi mtupu
Kuna wengine hapa hata baada ya ndoa idadi inazidi kuongeza, hizi semina na mikutano tunaendelea kudaka moja moja
hahahahahaaa theres nothing fishy kabisa just wanted to hear. But mi nazungumzia wale wa mahusiano kwa kiswahili, zile za "chapchap" haziko kwenye hesabu
unatakiwa uwe nazo relationship nyingi iwezekanavyo, ili ukija kuoa ubaki katika mke mmoja usiwe macho kumchuzi.
sioni unalenga kupata nini hasa katika dunia iliyojaa maradhi..anyway kukidhi kiu yako average ni 100 kuanzia miaka 18-30...source sina
Haina idadi maalum lakini kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa kabla ya kuoa lazima uhakikishe umeshakula dada poa,shoga,mke wa mtu,anda eitin na lazima uwe unajua ladha ya ule mtandao nafuu ili ukiwa ndani ya ndoa utulie usichachawe tena na hayo mambo.