EJM_ JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 3,836 Reaction score 2,100 Jul 21, 2011 Thread starter #41 designer spenko said: hakuna kipimo kwenye mapenzi hata moja inaweza ikawa ndyo kipimo chako au laaah Click to expand... Mi naamini kunakuwa na changamoto hasa pale mnapoamua kuishi pamoja, unafikiri kuingia bila xperience ni jambo jema sana?
designer spenko said: hakuna kipimo kwenye mapenzi hata moja inaweza ikawa ndyo kipimo chako au laaah Click to expand... Mi naamini kunakuwa na changamoto hasa pale mnapoamua kuishi pamoja, unafikiri kuingia bila xperience ni jambo jema sana?
EJM_ JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 3,836 Reaction score 2,100 Jul 22, 2011 Thread starter #42 Bado natitizika!
Big One JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 759 Reaction score 47 Jul 22, 2011 #43 inaweza kukusaidia ukiingia na experience coz mapenz hayana mwenyewe bana
EJM_ JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 3,836 Reaction score 2,100 Jul 22, 2011 Thread starter #44 Big One said: inaweza kukusaidia ukiingia na experience coz mapenz hayana mwenyewe bana Click to expand... Ndio hapo sasa, experience ya kiwango gani ndio swali la msingi linalonitatiza
Big One said: inaweza kukusaidia ukiingia na experience coz mapenz hayana mwenyewe bana Click to expand... Ndio hapo sasa, experience ya kiwango gani ndio swali la msingi linalonitatiza