Average penis size inayopendwa zaid hii hapa

Average penis size inayopendwa zaid hii hapa

LOOOK

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
3,389
Reaction score
674
JAMANI NAOMBEN TUSAIDIANE KUWATOA SHAKA HAWA WENZETU WANAO JIHISI KUWA NA UUME MFUPI KWA IMEKUWA KAWAIDA HUMU JAMVINI WATU KUTAKA DAWA ZA KUONGEZA UUME INGAWA MIMI NAHISI KINACHO WATOA KUJIAMINI NI PAMOJA NA

1.KUANGALIA PICHA ZA NGONO HASA ZA USA
2.KUJIFANANISHA NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI
3.KUJITATHMINI HASA UUME UKIWA UMELALA
4.KUSHINDWA KUTUMIA BAADHI YA STYLES ZA MAPENZI

HAYO NI BAADHI INGAWA NAHISI KUNA WATAALAMU WATALETA MENGI ZAIDI

TUKIANZA NA LA KWANZA WATU WENGI HASA VIJANA WAMEKUWA NA TABIA YA KUPENDA KUTIZAMA VIDEO ZA NGONO KITU AMBACHO KINAWAFANYA KUJIONA WANA SIZE NDOGO KWA KUJILINGANISHA NA WACHEZAJI WA VIDEO HIZO

HILO LA PILI WATU WENGI HASA VIJANA LADBA AKIMUONA KIJANA MWENZIE ANA UUME MKUBWA ,,TAYARI YEYE ANAANZA KUJIHISI ANA UUME MDOGO NA ANASAHAU KUWA HATA HUYO ALIYE MUONA ANAWEZA KUWA NA UUME MKUBWA KUTOKANA NA MAUMBLE YAKE

HILO LA TATU WENGI HUINGIA WASIWASI HASA WAKIJILINGANISHA NA WENZAO LABDA WAKIWA BAFUNI HASA KWA WANAO SOMA HOSTEL WAKATI UUME UKIWA UMELALA , LAKINI KUMBE WANAUME WAMETOFAUTIANA KUNA WENGINE UUME UKIWA UMELALA UNAKUWA MKUBWA NA UTAKAPO SIMAM UTAONGEZEKA KIDOGO SANA LAKINI PIA KUNA WALE AMBAO UUME UKIWA UMELALA UNAKUWA MDOGO SANA UNAEZA SEMA WA MTOTO LAKINI UKISIMAMA UNAFIKA SAWA NA ULE AMBAO ULIUONA MKUBWA KABLA NATENA WAWEZA KUWA ZAIDI HIVO HILO LIWASIPE SHAKA.

HILO LA NNE VIJANA WENGI LIMEWATOA KWENYE MOOD HASA WAKIWA NA WAPENZI WAO HII HUTOKANA NA BAADH YA WANAWAKE LADBA ANAEZA KUJIEKA STYLE AMBAYO INAHITAJI UUME MREFU KIDOGO KUIFIKIA HII HUTEGEMEA NA UMBILE LA MWANAMKE PIA.NA HASA WANAWAKE WANENE NA WENYE MAKALIO MAKUBWA KUNA BAADHI YA STYLE HUWA NI NGUMU SANA KWA WANAUME WENYE UUME WA KAWAIDA KUZITUMIA,HIVYO INATAKIWA PIA UZINGATIE HILO,JUA UMBO LA MKEO LIPOJE ILI UJUE NI STYLE GANI ITASAIDIA KUFANYA DEEP PENETRATION

SASA KUHUSU NI SAIZI GANI INATAKIWA ANBAYO NI AVERAGE HILO NAOMBA WADAU WACHANGIE INGAWA MIE NIJUAVYO NI approximately length of a 5.5 to 6.3 inches (13.6cm to 16cm) and girth au unene ranging between 4.5 to 5.1 inches(12-13cm) .

hivyo basi kama hujui kujipima, suburi uume usimame then pima kuanzia pale unapo anzia upande wa juu hadi mwisho wa kichwa ili kupata urefu na zungusha tape yako katikati ta uume ili uweze kupata unene ,then ukiona unarange vipimo hivyo huna haja ya kutafuta madawa jiamini kwamba uko normal na mambo yataenda vyema kabisA

>>>> naeka na picha hapo chini kuonesha namna ya kupima<<<<<<<<<<<

1: NAMNA YA KIPIMA HII HAPO CHINI KAMA INAVO ONEKANA KWA RANGI YA CYAN, NA HIYO NYEKUNDU NI MAKOSA HAITAKIWI UPIME HIVYO.
NAMNA YA UPIMAJI.jpeg

2:vipimo vinavyo shauriwa kutumika hivyo hapo

VIPIMO.jpeg

note: huenda sipo sahihi kwenye average size hapo naweza rekebishwa pia.
 
JAMANI NAOMBEN TUSAIDIANE KUWATOA SHAKA HAWA WENZETU WANAO JIHISI KUWA NA UUME MFUPI KWA IMEKUWA KAWAIDA HUMU JAMVINI WATU KUTAKA DAWA ZA KUONGEZA UUME INGAWA MIMI NAHISI KINACHO WATOA KUJIAMINI NI PAMOJA NA

1.KUANGALIA PICHA ZA NGONO HASA ZA USA
2.KUJIFANANISHA NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI
3.KUJITATHMINI HASA UUME UKIWA UMELALA
4.KUSHINDWA KUTUMIA BAADHI YA STYLES ZA MAPENZI

HAYO NI BAADHI INGAWA NAHISI KUNA WATAALAMU WATALETA MENGI ZAIDI

TUKIANZA NA LA KWANZA WATU WENGI HASA VIJANA WAMEKUWA NA TABIA YA KUPENDA KUTIZAMA VIDEO ZA NGONO KITU AMBACHO KINAWAFANYA KUJIONA WANA SIZE NDOGO KWA KUJILINGANISHA NA WACHEZAJI WA VIDEO HIZO

HILO LA PILI WATU WENGI HASA VIJANA LADBA AKIMUONA KIJANA MWENZIE ANA UUME MKUBWA ,,TAYARI YEYE ANAANZA KUJIHISI ANA UUME MDOGO NA ANASAHAU KUWA HATA HUYO ALIYE MUONA ANAWEZA KUWA NA UUME MKUBWA KUTOKANA NA MAUMBLE YAKE

HILO LA TATU WENGI HUINGIA WASIWASI HASA WAKIJILINGANISHA NA WENZAO LABDA WAKIWA BAFUNI HASA KWA WANAO SOMA HOSTEL WAKATI UUME UKIWA UMELALA , LAKINI KUMBE WANAUME WAMETOFAUTIANA KUNA WENGINE UUME UKIWA UMELALA UNAKUWA MKUBWA NA UTAKAPO SIMAM UTAONGEZEKA KIDOGO SANA LAKINI PIA KUNA WALE AMBAO UUME UKIWA UMELALA UNAKUWA MDOGO SANA UNAEZA SEMA WA MTOTO LAKINI UKISIMAMA UNAFIKA SAWA NA ULE AMBAO ULIUONA MKUBWA KABLA NATENA WAWEZA KUWA ZAIDI HIVO HILO LIWASIPE SHAKA.

HILO LA NNE VIJANA WENGI LIMEWATOA KWENYE MOOD HASA WAKIWA NA WAPENZI WAO HII HUTOKANA NA BAADH YA WANAWAKE LADBA ANAEZA KUJIEKA STYLE AMBAYO INAHITAJI UUME MREFU KIDOGO KUIFIKIA HII HUTEGEMEA NA UMBILE LA MWANAMKE PIA.NA HASA WANAWAKE WANENE NA WENYE MAKALIO MAKUBWA KUNA BAADHI YA STYLE HUWA NI NGUMU SANA KWA WANAUME WENYE UUME WA KAWAIDA KUZITUMIA,HIVYO INATAKIWA PIA UZINGATIE HILO,JUA UMBO LA MKEO LIPOJE ILI UJUE NI STYLE GANI ITASAIDIA KUFANYA DEEP PENETRATION

SASA KUHUSU NI SAIZI GANI INATAKIWA ANBAYO NI AVERAGE HILO NAOMBA WADAU WACHANGIE INGAWA MIE NIJUAVYO NI approximately length of a 5.5 to 6.3 inches (13.6cm to 16cm) and girth au unene ranging between 4.5 to 5.1 inches(12-13cm) .

hivyo basi kama hujui kujipima, suburi uume usimame then pima kuanzia pale unapo anzia upande wa juu hadi mwisho wa kichwa ili kupata urefu na zungusha tape yako katikati ta uume ili uweze kupata unene ,then ukiona unarange vipimo hivyo huna haja ya kutafuta madawa jiamini kwamba uko normal na mambo yataenda vyema kabisA

>>>> naeka na picha hapo chini kuonesha namna ya kupima<<<<<<<<<<<

1: NAMNA YA KIPIMA HII HAPO CHINI KAMA INAVO ONEKANA KWA RANGI YA CYAN, NA HIYO NYEKUNDU NI MAKOSA HAITAKIWI UPIME HIVYO.
View attachment 104792

2:vipimo vinavyo shauriwa kutumika hivyo hapo

View attachment 104793

note: huenda sipo sahihi kwenye average size hapo naweza rekebishwa pia.
Sawa kabisa asante kwa kutufahamisha
 
yaani watu wangaliviona vile vya wa-Japan ndio wangejua kwamba wao wako juu. jamaa wana-range kwenye 3-4 inc, huku kwa upande wa wanawake inaonekana wao wana mapochi haswaaa..!! lakini jamaa wanakomaa hivyo hivyo na watoto wanazaa hadi imebidi wafanyiwe family planning.... teh teh..
 
Unene uwe 12-13cm ???

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu hapo kwenye Unene umekosea yaani hata Tango haliingii,,,By the way Mshkuru Mungu umeweza kupewa hata hicho kibamia kuna mwenzako ye ------- kabisa.
 
Huwa hainiingii akilini unapowaza umbo la uume ili kumridhisha mwanamke...mapenzi sio kujamiiiana tu ni zaidi ya hiyo (upamoja, upendo, ushirikiano, ushauriano, kulea familia etc)? khaaaa

Hivi ka kichwa cha mtoto huwa kinapita hapo unaweza linganisha na hicho kiantenda chako? au ka manesi huwa wanapitisha mkono/mikasi kuondoa ................... sembuse hako kamkia kako? (sorry for using harsh language)
 
Best plz help...hivi wanawake/wasichana huwa hawapimi maumbile yao in terms of over/under secretion ya semimal fluids, urefu na upana wa vaginal opening na ufanisi mwingine wa kingono?

Sasa unapima size ya penis ili ukaishoneshee mfuko ama? Mbona mnajua kujisumbua sana?
 
Huna haja ya kusumbuka na marula kupima, nenda Playstore download application inaitwa `Penis Size Calculator'
 
Kwanza wanawake huwa hawajadili maumbile yao ya ndani hivyo. Huwa tunapata feedback nadhani. Hivi tunaweza kuongelea like una matiti mazuri na sijui nna oversecretion?

Mie huwa sijiwazi kama mzuri ama mbaya. Im just me, what you see is what you get. Not happy?take a hike! Kama kuna wenye vina sijui virefu ama vifupi si ukawape na salamu zangu?
Best plz help...hivi wanawake/wasichana huwa hawapimi maumbile yao in terms of over/under secretion ya semimal fluids, urefu na upana wa vaginal opening na ufanisi mwingine wa kingono?
 
Unene uwe 12-13cm ???

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ka hujaelewa uliza ,hizo unazipata kwa kuzungusha tape kwenye uume tizama picha vizuri mkuu.
 
Sasa unapima size ya penis ili ukaishoneshee mfuko ama? Mbona mnajua kujisumbua sana?
mwenzangu lisilo kuhusu weye yupo linae muhusu shuhulika na yanayo kuhusu yasiyo kuhusu yatakuchosha bure!!!
 
Ngoja watumiaji waje watoe maoni yao sisi wazalishaji tunapokea maoni toka kwao.

CC: Malkia
 
Huwa hainiingii akilini unapowaza umbo la uume ili kumridhisha mwanamke...mapenzi sio kujamiiiana tu ni zaidi ya hiyo (upamoja, upendo, ushirikiano, ushauriano, kulea familia etc)? khaaaa

Hivi ka kichwa cha mtoto huwa kinapita hapo unaweza linganisha na hicho kiantenda chako? au ka manesi huwa wanapitisha mkono/mikasi kuondoa ................... sembuse hako kamkia kako? (sorry for using harsh language)
ufinyu wa mawazo nipamoja na kushindwa kuyatumia ipasavyo, wahusika wamenielewa sasa weye mwenzangu na mie nini kunacho kupa shuruti???? na kwa maelezo yako hapo juu inaonesha hata shule huna sababu hujui hata biology, huwezi linganisha swala la kuzaa mtoto na uume, shit!!! swala la mtoto kupita kwenye k lina maandalizi mengi sana yanayo fanywa na mwili, halafu pia weye ni mnafiki unafikiri mumeo angekuwa na uume kama njiti ya kibiriti ungekaa naye??? embu acheni kuingiza siasa kwenye mapenzi ,swala la uume linasababisha wanawake wengi sana ku cheat ,halafu wewe unakuja na hoja zako za kisiasa hapa ,you rubbish play safe with you're tongue!!!
 
Kwanza wanawake huwa hawajadili maumbile yao ya ndani hivyo. Huwa tunapata feedback nadhani. Hivi tunaweza kuongelea like una matiti mazuri na sijui nna oversecretion?

Mie huwa sijiwazi kama mzuri ama mbaya. Im just me, what you see is what you get. Not happy?take a hike! Kama kuna wenye vina sijui virefu ama vifupi si ukawape na salamu zangu?

King'asti,
Acha nikuunge mkono tu. Kwa nini unapoteza muda kujishughulisha na urefu na ufupi. Kama hilo ndiyo kigezo basi kabla ya kuenda naye, muulize kina chake na upana wake. Ufundi wangu wa kumfikisha kileleni ndio cha maana hapa. Kwanza kumfikisha kileleni hakuhitaji urefu na unene si wajua? Kama ni unene basi hakuna mwenye huo unene wa penis. Wote, hata wewe nanihiiii huna huo unene wa kichwa cha mtoii. Mwenye fikra potofu ya kutaka kumwumiza mwenzake ndiyo atatafuta unene. Love making haihitaji kuumizana huko ni ujinga tuu.
 
Back
Top Bottom