MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Benard Mkolwe wa kata ya Madilu Mkoani Njombe amepigwa na kuvunjwa mikono na miguu baada ya kukutwa akiwa na Sarah Mgohole (18) nyumbani kwao ambako alimfuata kwa lengo la kufanya mapenzi ikiwa ni siku yao ya kwanza tangu waanze uhusiano wiki 2 zilizopita.
Chanzo Millard Ayo
Chanzo Millard Ayo