Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #21
Sure sector binafsi ndiyo mwajiri mkubwahakuna sekta sensitivity kama Private sector,sector binafsi in kama Kobe ,ukimgusa kichwa anaficha ndani,kukitoa tena ni shughuli,tulip marehemu mengi alivyosakamwa sana na watawala ,kimsingi matajiri wazalendo hawana nafasi ,kama dewiji alitekwa,zakaria kanusurika,wewe unautaka utajiri bado
Sent using Jamii Forums mobile app