Sure sector binafsi ndiyo mwajiri mkubwahakuna sekta sensitivity kama Private sector,sector binafsi in kama Kobe ,ukimgusa kichwa anaficha ndani,kukitoa tena ni shughuli,tulip marehemu mengi alivyosakamwa sana na watawala ,kimsingi matajiri wazalendo hawana nafasi ,kama dewiji alitekwa,zakaria kanusurika,wewe unautaka utajiri bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Ndiyo umeshatokea ''things have gone out of hands already'' secta binafsi zinakufa kutokana na sera za majukwaani ''uncertainty polices''Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa. Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui. Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;
1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.
2.Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.
3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.
4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.
6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na akarudi baada ya kulipa ransom.
7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??
Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea. Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu
Hapa ndiyo nakumbuka mchakato wa Katiba uliokufa kifo cha ghafla kwa uzembe wa JK. Katiba ingepiga msumali kuwa Rais hana madaraka ya mwisho kuanzisha mega projects zinazo cost multi Million Dollars bila approval ya Bunge.Na Ndiyo umeshatokea ''things have gone out of hands already'' secta binafsi zinakufa kutokana na sera za majukwaani ''uncertainty polices''
Vitu vingi ni 'one Man show'Hapa ndiyo nakumbuka mchakato wa Katiba uliokufa kifo cha ghafla kwa uzembe wa JK. Katiba ingepiga msumali kuwa Rais hana madaraka ya mwisho kuanzisha mega projects zinazo cost multi Million Dollars bila approval ya Bunge.
Hili ndiyo jibu. Mwalimu wake wa udikteta Paul K. kayafanya haya nchini kwake kwahiyo na huyu mwanafunzi anafata nyayo.ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri
Anyway, mkuu unatumia lugha laini Sana. Hapa jiwe hachomoki ktk hili.Stuxnet nakukumbusha ongezea na kifo cha Bilionea Subhash Patel huyu alikua mwenyekiti wa wenyeviwanda Tanzania nae hatunae tena,hiki ni kifo cha sita cha mabilionea kutokea tanzania ndani ya miaka miwili.
Kifo ni ahadi lakini kwa idadi ya mabilionea tulionao tanzania na kasi ya vifo vyao ndani ya muda mfupi wa huu utawala kuna maswali yanakosa majibu.
Picha ya mzungu, lkn maneno ni ya pale Lumumba.Wazungu wana uchungu na Tanzania kuliko ChademaView attachment 1356981
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ni kweli huyu Salum Shamte (R.i.p.) alipewa msukosuko, lkn baadaye alifariki dunia..4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka
Unamdai deni gani?Na kama halipi madeni wengine watapata wapi pa kukopa kwa maana kama kila anayekopa akigoma kulipa? Na huko Kanada unakodai ameenda akikopa hatolipa lipa deni?
Mbona hao WEZI ndo hawa hawa bado wanatawala...Pia walizoea kusikia kuna pesa zimepigwa mpaka watu wakabeba kwenye masandarusi ili tu muda wote wakae wanaizodoa serikali. Sasa haya mambo hayapo. Wamebaki wanaduaa.
Kwa kiasi fulani nimekuelewa,Ila ungetoa ushauri gani serikali ichukue kuimarisha sekta binafsi.Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa.
Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui.
Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;
1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.
2. Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.
3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.
4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.
6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na inadaiwa akarudi baada ya kulipa ransom.
7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??
Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea.
Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu
Kweli Subhash Patel ilikuwa ndiye majority shareholder wa Bank M ambayo tulishuhudia ikifilikisiwa na amana zake zikihamishiwa Azania Bancorp mnamo August 2018.Stuxnet nakukumbusha ongezea na kifo cha Bilionea Subhash Patel huyu alikua mwenyekiti wa wenyeviwanda Tanzania nae hatunae tena,hiki ni kifo cha sita cha mabilionea kutokea tanzania ndani ya miaka miwili.
Kifo ni ahadi lakini kwa idadi ya mabilionea tulionao tanzania na kasi ya vifo vyao ndani ya muda mfupi wa huu utawala kuna maswali yanakosa majibu.
Huyo anakupotezea tu muda wako.Haelewi ishu ya Manji.Asante kwa mawazo yako
Nasikia ishu ya Manji ulikuwa ni mpango wa Simba SC kuimaliza Yanga FC.Ndiyo maana wakafanikiwa kuchukua makombe ya ligi kuu mfululizo.Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa.
Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui.
Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;
1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.
2. Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.
3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.
4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.
6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na inadaiwa akarudi baada ya kulipa ransom.
7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??
Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea.
Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu