Subiri nayo Precision Air itashughulikiwa muda si mrefu. Maana inaonekana kwenye ruti za Kilimanjaro Precision inajaza wakati ATCL inakuwa nusu emptyBinafsi niliumia sana kufa kwa Fastjet. Kwa serikali zinazojali uwekezaji, wale akina Masha (Fastjet) wangepewa BAILOUT, then waendelee na biashara, waje walipe baadaye wanapozalisha faida. Naamini lingetendeka hili basi wangeendelea na biashara na huenda wangefika maeneo mengi sana ya nchi hii ikiwemo Chato.
Fastjet ipo Zimbabwe inapiga Kazi kwa nusu bei Kama kawaida, itarudi jamaa akiondokaBinafsi niliumia sana kufa kwa Fastjet. Kwa serikali zinazojali uwekezaji, wale akina Masha (Fastjet) wangepewa BAILOUT, then waendelee na biashara, waje walipe baadaye wanapozalisha faida. Naamini lingetendeka hili basi wangeendelea na biashara na huenda wangefika maeneo mengi sana ya nchi hii ikiwemo Chato.
Wewe ni Mtanzania hasa 100%, kila kitu ni lazima ufikiri kuna foul play, mtu akifa kuna mkono wa mtu, Muhindi akushitakiwa anaonewa, hivi nikuulize hao matajiri wako kama Manji wakati anakopa hakusaini na kuahidi kulipa?
Na kama halipi madeni wengine watapata wapi pa kukopa kwa maana kama kila anayekopa akigoma kulipa? Na huko Kanada unakodai ameenda akikopa hatolipa lipa deni?
6 tycoon dies with 2 yearRIP Salum Shamte, ulituhumiwa na kutupwa rumande bila fursa ya kusikilizwa. But Karma is real, let's wait
Nchi makini hutengeneza oligarchy (matajiri wake), kwetu hapa tunawafunga jela kwa sababu hawako ktk chama chetu.Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa.
Kwa upande wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya maendeleo inayopaswa kutumia hiyo miundo mbinu hali siyo nzuri. Kwa uchache tu nimeona kama kuna kitu sisi kama wananchi hatukijui.
Maana wale watu wote viongozi wa sekta binafsi na wafanya biashara wakuu ama hatunao au wanapata misukosuko mikubwa kama ifuatavyo;
1. Reginald Mengi pengine huyu ni natural death.
2. Yusuf Manji kawa harassed, kanyang'anywa biashara zake kama ile Tigo mwishowe kakimbilia Canada.
3. Ali Mufuruki alikufa kiajabu ajabu tu eti kwa Pneumonia, sawa bana.
4. Shamte Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation yuko rumande kwa mashtaka ya kutakatisha fedha.
5. Simbeye ndiye naye last week ame resign kama Executive Secretary wa hiyo Tanzania Private Sector Foundation.
6. Mohamed Dewji alikuwa kidnapped na inadaiwa akarudi baada ya kulipa ransom.
7. Peter Zacharia wa Tarime alitaka kutekwa ila akawawahi kwa bastola. Then wakamkamata na kumfungulia mashtaka ya kutaka kujeruhi??
Yaweza kuwa ni wasiwasi wangu tu lakini ikiwa ni systematic process ya kuwa eliminate matajiri then tutajikuta tumejenga miundo mbinu ila tuna sekta binafsi DHAIFU. Na ndipo MDORORO wa UCHUMI utatokea.
Kamwe Serikali haiwezi kufanya biashara na tusitegemee sana makampuni ya kigeni kama kina DANGOTE au VODACOM. Tujenge tabaka la matajiri wetu
Tulifanya makosa makubwa sana mwaka 2015 kumkabidhi nchi huyu MAGUFULINchi makini hutengeneza oligarchy (matajiri wake), kwetu hapa tunawafunga jela kwa sababu hawako ktk chama chetu.
Usiwaone akina Abrahamovic, billgates, wametengenezwa.
Siyo kakimbia JIJI tu, pamoja na kulindwa na majeshi, Polisi na Askari Maalum wa wa Burundi. Vilevile gari lenye mitambo ya internet jammer, wale Askari wenye detectors kwenye laptop na helicopter juu amekufa kwa COVID19, na kufukiwa kwao Chato jana sisi wenye JIJI tumebaki tunadunda.Aliyeapa atakaebakia mjini ni mwanaume matokeo yake ye ndo kakimbia jiji.
Karma dhidi ya Salum Shamte ilikwishamkumba Mwendazake. Na tushukuru Mungu mdugu zake wameachiwa jana kwenye Uongozi wa Rais SSHRIP Salum Shamte, ulituhumiwa na kutupwa rumande bila fursa ya kusikilizwa. But Karma is real, let's wait
Ili kiongozi la misukule ya dikteta magufuli sikuizi sijui lipo wapiWewe ni Mtanzania hasa 100%, kila kitu ni lazima ufikiri kuna foul play, mtu akifa kuna mkono wa mtu, Muhindi akushitakiwa anaonewa, hivi nikuulize hao matajiri wako kama Manji wakati anakopa hakusaini na kuahidi kulipa?
Na kama halipi madeni wengine watapata wapi pa kukopa kwa maana kama kila anayekopa akigoma kulipa? Na huko Kanada unakodai ameenda akikopa hatolipa lipa deni?
Chadema ndio wamefanya nchi hii iwe masikini hivi kwa miaka 60 ya uhuru?Wazungu wana uchungu na Tanzania kuliko ChademaView attachment 1356981
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ndio wamefanya nchi hii iwe masikini hivi kwa miaka 60 ya uhuru?Wazungu wana uchungu na Tanzania kuliko ChademaView attachment 1356981
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hadhihakiwi, kaanza kufa Mwendazake na mali kaziacha. Naye Makonda dawa yake inachemka, ni suala la muda tuBashite ndiye mshika mikoba aliyeandaliwa kuwa tajiri namba moja nchini kuyalinda maslahi ya baba yake wa kufikia. Mali anazomiliki Bashite ni zile anazomshikia baba yake uchwara. Nyie wengine mkifa na mfe tu.
pilipili--mbuzi jibu la swali lako ni hayo aliyoyafanya Rais SSH ndani ya siku 100. Utawala wa Sheria, kutobambikiza kesi kwa wafanya biashara, kukusanya kodi ya haki na siyo kwa task force, kufungua diplomasia ya kimataifa.Kwa kiasi fulani nimekuelewa,Ila ungetoa ushauri gani serikali ichukue kuimarisha sekta binafsi.