Awamu ya 5 na sekta binafsi, kuna tusilolijua

Subiri nayo Precision Air itashughulikiwa muda si mrefu. Maana inaonekana kwenye ruti za Kilimanjaro Precision inajaza wakati ATCL inakuwa nusu empty
 
Fastjet ipo Zimbabwe inapiga Kazi kwa nusu bei Kama kawaida, itarudi jamaa akiondoka
 

Mshangao wako Sawa Sawa na wangu. Watanzania tuna safari ndefu kujikwamua na umasikini wa fikra
 
Nchi makini hutengeneza oligarchy (matajiri wake), kwetu hapa tunawafunga jela kwa sababu hawako ktk chama chetu.

Usiwaone akina Abrahamovic, billgates, wametengenezwa.
 
Nchi makini hutengeneza oligarchy (matajiri wake), kwetu hapa tunawafunga jela kwa sababu hawako ktk chama chetu.

Usiwaone akina Abrahamovic, billgates, wametengenezwa.
Tulifanya makosa makubwa sana mwaka 2015 kumkabidhi nchi huyu MAGUFULI
 
Kuna wakati mtu anaweza kuiba hela lkn kumbe walio ndani ya mfumo ndio walimpa ruhusa.

Maridhiano yalitakiwa yafanywe tangu kipindi kile ajira za watu zingekuwepo hadi leo.

Sasa unaweka magofu kwa manufaa ya nani? Wakati waliofanya tufike hapo wapo ndani ya utawala.

Hivi leo unapoenda kufanya mlimani city magofu kwa kuwa utawala kabla ya jpm uliingia mkataba mbovu na wa south africa anaeumia ni nani?
 
RIP Salum Shamte, ulituhumiwa na kutupwa rumande bila fursa ya kusikilizwa. But Karma is real, let's wait
Karma niliyoiyaja hapa mwaka jana tayari imechukua nafasi. Mtu kafukiwa Jana huko Chato
 
Aliyeapa atakaebakia mjini ni mwanaume matokeo yake ye ndo kakimbia jiji.
Siyo kakimbia JIJI tu, pamoja na kulindwa na majeshi, Polisi na Askari Maalum wa wa Burundi. Vilevile gari lenye mitambo ya internet jammer, wale Askari wenye detectors kwenye laptop na helicopter juu amekufa kwa COVID19, na kufukiwa kwao Chato jana sisi wenye JIJI tumebaki tunadunda.

Mungu ana nguvu na anasikia
 
RIP Salum Shamte, ulituhumiwa na kutupwa rumande bila fursa ya kusikilizwa. But Karma is real, let's wait
Karma dhidi ya Salum Shamte ilikwishamkumba Mwendazake. Na tushukuru Mungu mdugu zake wameachiwa jana kwenye Uongozi wa Rais SSH
 
Ili kiongozi la misukule ya dikteta magufuli sikuizi sijui lipo wapi
 
Bashite ndiye mshika mikoba aliyeandaliwa kuwa tajiri namba moja nchini kuyalinda maslahi ya baba yake wa kufikia. Mali anazomiliki Bashite ni zile anazomshikia baba yake uchwara. Nyie wengine mkifa na mfe tu.
Mungu hadhihakiwi, kaanza kufa Mwendazake na mali kaziacha. Naye Makonda dawa yake inachemka, ni suala la muda tu
 
Kwa kiasi fulani nimekuelewa,Ila ungetoa ushauri gani serikali ichukue kuimarisha sekta binafsi.
pilipili--mbuzi jibu la swali lako ni hayo aliyoyafanya Rais SSH ndani ya siku 100. Utawala wa Sheria, kutobambikiza kesi kwa wafanya biashara, kukusanya kodi ya haki na siyo kwa task force, kufungua diplomasia ya kimataifa.

Mungu kaipenda sana Tanzania kwa kutuonyesha jinsi MADIKTETA wanavyoharibu uchumi wa nchi kwa miaka 5 na siku 114. Magufuli alikuwa anatupeleka pabaya sana

KAMWE TUSIRUHUSU HILI LIJIRUDIE, Tumuombe Rais SSH amalize mchakato wa Katiba Mpya ya Rasimu ya Warioba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…