Awamu ya 6: Tusije zembea ujenzi wa Bwawa la uzalishaji umeme Stieglers Gorge

Awamu ya 6: Tusije zembea ujenzi wa Bwawa la uzalishaji umeme Stieglers Gorge

Hiyo ni opinion yako. Opinion yangu ni kuwa huu mradi tutaujutia maisha yetu yote. Na watoto na wajukuu zetu watatulaani kwa kuwaharibia future yao na kuwatwika mzigo usio na faida yeyote.
Muda utaonyesha nani yuko sahihi.

Amandla...
Hakuna kujutia teknolojia ambayo ni proven, clean na low cost over decades.
Nakubaliana na wewe , kuwa tukubaliane kutokubaliana, and time, I am sure will prove me right.
 
Ha ha ha kaka tozo watu wanatumia kulipia polisi kubambia watu wengi kesi.... kumbuka ule Mradi hata mabeberu wanaotusaidiaga waliugomea jiwe alitumia mbavu zake tu sasa hayupo waliopo hawajui watokeje mimi nilikuwa mkandarasi huko nimeacha kazi hakuna Hela
B.H. Ladwa Ltd, Mohamed Builders Ltd,Advent construction ltd, Sino,Sonoma etc je we wa wapi?
 
Hivi unajua bei ya gesi kwenye soko la dunia ni dola ngapi last month?
Kuna makampuni mengi ya gesi ya energy supply yamekufa Ulaya kutoka na bei ya gesi kuwa juu!


Bei ya gesi imekuwa ina fluctuate sana. Bei ikipanda gharama zinamuhusu mtumiaji!!

Halafu haya makampuni ya gasi yakishaua vyanzo vingine vya umeme. Kazi yao ni moja, fanya wanavyotaka. Ukileta ubishi wana turn off supply tap kwa kisingizio cha matengenezo!

Tukizubaa haya makampuni ya gesi ndio yatakuwa “King Maker” miaka hijayo. Mkileta ubishi mtakaa gizani mpaka msalimu amri!!
Point
 
Ni kweli kabisa usemacho, je wakati tunatumia umeme wa maji gharama ilikuwa nafuu? Mimi sio engineer nitaamini vipi hiki usemacho? Au niamini tu ili nipone?
Wewe ni adui wa ndani usie jijua
 
Gesi ya Mtwara si yetu, huu ni ukweli. Gas ni Mali ya mwekezaji aliyechimba.
Sisi tunanunua kwao kwa Bei ya soko, alafu tunachopata ni Kodi kutoka kwao.
Mwekezaji akirudisha gharama za uwekezaji ndio inakua Mali yetu, swali ambalo hata ccm wenyewe hawana majibu ni je itachukua miaka mingapi mwekezaji kurudisha gharama zake
Tumeliwa
 
Gesi ya Mtwara si yetu, huu ni ukweli. Gas ni Mali ya mwekezaji aliyechimba.
Sisi tunanunua kwao kwa Bei ya soko, alafu tunachopata ni Kodi kutoka kwao.
Mwekezaji akirudisha gharama za uwekezaji ndio inakua Mali yetu, swali ambalo hata ccm wenyewe hawana majibu ni je itachukua miaka mingapi mwekezaji kurudisha gharama zake
Mradi wa Umeme bwawa la Nyerere unafadhiliwa na pesa yetu 100%.
Na ni umeme utakaikuwa safi.
 
Kwanza nianze kwa kusema mimi si mpenzi mkubwa wa Rais wetu aliyepita, JPM.

Hata hivyo, pamoja na figisu nyingi za JPM katika mambo mbali mbali, mengine ambayo yalikuwa miradi ya upendeleo ulio wazi kimaeneo, katika mradi wa bwawa la umeme Stieglers alikuwa spot on.

Mradi wa ujenzi wa bwawa la kuweza kufua umeme la Nyerere Hydropower(Stieglers Gorge), ni kati ya miradi ya kimkakati yenye matokeo yanayoweza kuleta mapinduzi ya uchumi kwa miaka mingi ijayo.

Katika hili, nampongeza JPM kama ambavyo nimempongeza mara kadhaa huko nyuma.

Maneno maneno tunayosikia toka kwa Waziri wa sasa wa Nishati, Januari Makamba, yanatutia wasiwasi juu ya azma kukamilisha ujenzi wa bwawa hilo kwa wakati.

Tunajua naye JPM aliupa kisogo mradi wa uendelezaji wa uchimbaji wa gesi kwa matumizi ya uzalishaji umeme.

Lakini Waziri Makamba awe careful katika kutekeleza miradi hii ili yote yakamilike kwa manufaa ya nchi, Tanzania.

Haya maneno maneo mara oooh, maji hayajazwi kwenye bwawa leo wala kesho, mara mradi uko nyuma, …………….mara mkandarasi hawezi kazi, hayo wananchi hatupendi kuyasikia. Tunachotaka kusikia ni lini mradi unakamilika, na tupate umeme wa bei chee.

Tunajua figisu kati ya JPM na baba yake January, Yusufu Makamba, lakini ni vyema tukayaweka hayo nyuma yetu na tugange yajayo, afterall JPM sasa hayupo.

Tunataka mradi wa JNHPP (Julius Nyerere Hydropower Project) ukamilike kwa wakati.

(NB: Tunasikia kutoka kwa ka nzi, kuwa kuna wakubwa wamejipanga kuingiza figisu kwa makusudi mradi huu)
Gesi iliishia wapi
 
Msikariri kila mnacholishwa na wasioutakia mema mradi.
Mto Rufiji for millenia haujawahi kukauka.
Unaweza usikauke lkn ili bwawa lifanye kazi sinilazima level za ujazo zifikiwe ? mbona tulishawahi kuzima mitambo huko Kihansi kwaajili ya upungufu wa maji?
 
J

Je watakuwa wanamkomoa nani so far mradi huo uko kanda ya pwani!
Issue sio kukomoa na inaonekana bado umelala wewe, kukosekana kwa umeme au mgawo ni ulaji wa mabilioni kwa watu wengine (mafisadi)
 
Ni sawa na kusema jua linazidi kuisha kwa ukali huu.
Maji yamekuwapo for millions of years na mto Rufiji hautakauka leo wala kesho.
umeme wa maji enzi hizi ni miyeyusho tuu especially kama una gas ya kumwaga kama Tanzania, aibu tupu kwa gas ile na hatuna umeme au uliopo ni wa mgawo au bei mbaya sana , nafikiri umeme ungekuwa kitu rahisi sana kwa gas iliyopo ila uongozi unatuangusha sana
 
umeme wa maji enzi hizi ni miyeyusho tuu especially kama una gas ya kumwaga kama Tanzania, aibu tupu kwa gas ile na hatuna umeme au uliopo ni wa mgawo au bei mbaya sana , nafikiri umeme ungekuwa kitu rahisi sana kwa gas iliyopo ila uongozi unatuangusha sana
Duu....!
 
Njia yeyote ya kuhujumu miradi ya maendeleo ya watanzania kwa gharama yeyote..ikiwemo Sgr na strogious gourge na bandari na madaraja makubwa kama busis haiwezi kukibalika ..I
Una nn chakuwafanya?
 
Washaanza kuleta mambo ya mabadiliko ya tabia ya nchi sababu ya kukuta miti unadhani watauendeleza huo mradi...
 
Gas ya mchina na mzungu. Unainunua kutoka kwa market price. Ni sawa useme dhahabu ya kahama Barrick ni yenu.

Running cost ya gas plant ni very high ya maji running cost ni almost bure ukisha install. Pland ya gas ni ya short term kwa nchi kama TZ huwezi sustain kununua gas mda wote kutoka kwa mzungu anayeishimba huko chini ya bahari na uka generate umeme mkubwa. Kwanza bei ya gas yenyewe tu inazidi ya umeme sahivi halafu ununue u generate ma megawatt for long term huwezi.
Kiongozi naomba unieleweshe...Kama tunauziwa gas yetu(yaani inachimbwa nchini kwetu) kwa Bei soko la dunia..sisi tunafaidika Nini..? maana nilifikiri moja ya makubaliano ya wao kuchimba gas yetu Ni akutupa kiasi flani kwa matumizi yetu au kutupunguzia bei..
Binafsi napata shida nikisia gas yetu Ni gharma Sana kuliko umeme wa maji..gas inakuwaje gharama sana wakati inachimbwa kwetu..??
 
Kiongozi naomba unieleweshe...Kama tunauziwa gas yetu(yaani inachimbwa nchini kwetu) kwa Bei soko la dunia..sisi tunafaidika Nini..? maana nilifikiri moja ya makubaliano ya wao kuchimba gas yetu Ni akutupa kiasi flani kwa matumizi yetu au kutupunguzia bei..
Binafsi napata shida nikisia gas yetu Ni gharma Sana kuliko umeme wa maji..gas inakuwaje gharama sana wakati inachimbwa kwetu..??
Yote kwa yote ni mradi wa Umeme bwawa la Nyerere.
 
Back
Top Bottom