Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Kwa hiyo kutoonekana hela ni ishara kua hakuna ufisadi? Na kwamba kuna uchumi mzuri? Hii ni mentality ya wapi?Hela mtaani hazikuonekana kwa sababu zifuatazo
1: utekelezaji wa miradi ya maendeleo
2 alidhibiti ufisadi na rushwa kwa kiwango kikubwa...