Uchaguzi 2020 Awamu ya pili wote tujiandae, mnaocheka mnaweza kuja kulia

Uchaguzi 2020 Awamu ya pili wote tujiandae, mnaocheka mnaweza kuja kulia

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.

Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
 
Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.

Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Know your boss
 
Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.

Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.

Kelele ni zile zile, tuliwaambia hapa hata mbunge mmoja hampati
 
Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.

Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Alhamdullilah,shukrani zote anastahili Mwenyezi Mungu.Siku imefika,kura zimepigwa na matokeo yametoka,ni jambo la kushukuru.
Kwa waliofariki katika mchakato huu Mwenyezi Mungu azipokee roho zao na azipumzishe kwa amani.Kwa waliopata majeraha,ni suala la muda lakini itabidi maisha yaendelee.
Kuhusu kitakachotokea baada ya hapa ni suala gumu kulitabiri lakini kama ulivyosema waliocheka wanaweza kulia na waliolia wakacheka.
Jambo moja ni dhahiri,Chama Cha Mapinduzi kimeondoka katika chama cha siasa kinachotegemea ushawishi na kuwa Chama chenye vyombo na maguvu.
Wote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa CCM kushinda kwani KUSHINDWA kwa CCM ndio mwisho wa amani ya nchi hii.Ni bora waendelee kushinda tuwe na amani kuliko washindwe tumwage damu zaidi ya hii iliyomwagika.
Mwenyezi Mungu ni muweza ,nani alitegemea kuwa Mahiga hatakukuwa mbunge wa Iringa?
 
Hii ni sawa tu na kama vile wapinzani hawakushiriki kwenye uchaguzi, lkn imewafundisha wameona bila tume huru hakuna haja ya kushiriki katika uchaguzi ni sawa na kuhalalisha uhuni.

Jumuia ya kimataifa kama hawatachukua hatua kali dhidi ya hii dhuluma basi waache kabisa kuziandama nchi kama Iran, Venezuela, North Korea au Zimbabwe maanake kwa hii dhuluma tunaweza hata tukayazidi hayo mataifa.
 
Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.

Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Upuuzi tu .
Umekosa hoja za kuongea.
 
Huu Uzi umenikumbusha ya Marehemu MBUNGE.

muasisi wa nyimbo ya
" ACHENI WAISOME NAMBA"

nae Kabla hajafariki aliisoma namba ipasavyo.

Biashara zake zilienda kombo, akashindwa mpk kulipa mikopo na Mali zake kupigwa mnada.

Mwisho wa siku alikosa faraja na sapoti, Mateso yakamfika kooni na AKAFA kwa PRESHA.

Kwaiyo,
unapokua unasherekea ushindi Kama huu.

Ni vema kua na akiba ya maneno mkuu.
 
Wananchi wa hali ya chini wanampenda Magufuli mnoooo

Fanyeni kuishi mtaani mjichanganye na bodaboda, mamantilie, wenye magenge, masokoni, machinga ndio mtaijua nguvu ya John Pombe Magufuli
 
Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.

Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Keyboard warriors wamegeuka kuwa manabii wa kutabiri yajayo 😂😂😂
 
Keyboard warriors wamegeuka kuwa manabii wa kutabiri yajayo 😂😂😂

Maisha yanaanza kasi sana, last week hawahawa ndio walikua wanatuambia tutarudishwa burigi😂😂😂
 
Back
Top Bottom