machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Wacha wale na kunywa mpaka wazimeMmbunge wa jimbo letu jana kafanya pati ya nguvu kachinja ng'ombe watano na kulewesha watu mpk wakatambaa pamoja na kuwajaza mapesa, siasa hizi jamani!!!! Kibamba moja hyo.
Huyo mbunge siyo fala atarudisha hela yake Mara 100