wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 985
Kwa hio mnajisifu kwa kunyang'anya haki za watu? Haya kuleni basi kama haki ya mtu yalika!Kelele ni zile zile, tuliwaambia hapa hata mbunge mmoja hampati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio mnajisifu kwa kunyang'anya haki za watu? Haya kuleni basi kama haki ya mtu yalika!Kelele ni zile zile, tuliwaambia hapa hata mbunge mmoja hampati
Ingawa tunakoelekea ni siri ya Mungu pekee, lakini je ni sheria ipi kandamizi ambayo haikupitishwa sababu wabunge wa upinzani walibisha?yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena
Ni mmoja kati ya mawaziri shupavu hapa tz,ila alipokufa alizikwa kama yatima.Alhamdullilah,shukrani zote anastahili Mwenyezi Mungu.Siku imefika,kura zimepigwa na matokeo yametoka,ni jambo la kushukuru.
Kwa waliofariki katika mchakato huu Mwenyezi Mungu azipokee roho zao na azipumzishe kwa amani.Kwa waliopata majeraha,ni suala la muda lakini itabidi maisha yaendelee.
Kuhusu kitakachotokea baada ya hapa ni suala gumu kulitabiri lakini kama ulivyosema waliocheka wanaweza kulia na waliolia wakacheka.
Jambo moja ni dhahiri,Chama Cha Mapinduzi kimeondoka katika chama cha siasa kinachotegemea ushawishi na kuwa Chama chenye vyombo na maguvu.
Wote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa CCM kushinda kwani KUSHINDWA kwa CCM ndio mwisho wa amani ya nchi hii.Ni bora waendelee kushinda tuwe na amani kuliko washindwe tumwage damu zaidi ya hii iliyomwagika.
Mwenyezi Mungu ni muweza ,nani alitegemea kuwa Mahiga hatakukuwa mbunge wa Iringa?
Kwa hio mnajisifu kwa kunyang'anya haki za watu? Haya kuleni basi kama haki ya mtu yalika!
Maisha bora kwa kila mtanzania ,hii slogan ilikuwa poa sana na tulifaidi
Hata sisi tumechoka na wizi na udhalimu wenu!Gerare hia, tushachoka na story zenu
Mtizamo ...unaweza kua au usiwe na ukweli sema hatuna manabii bali wavamizi tuWanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.
Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Mkuu we haupo TzPoleni Sana na nchi yenu ya UTOPOLO
Vumbi litaongezeka na Vyuma vitakaza sio mchezo
Navuta picha jinsi watakavyotekwa wale wote wasiosema ndio kwenye kikao cha bunge . Jiwe apewe 10 tena !!! Ndio,Wanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.
Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Wacha uongo mkuu.. usifananishe makabila ya watu na matagaAawapi hayo nimaneno ya mkosaji.
wahaya.
wachaga.
wasukuma.
wakurya.
wanyakyusa.
wanyamwezi.
wazaramo na makabila mengine yote ya Tanzania wameonyesha imani kubwa sana kwa JPM na CCM mpya.
Imani zipo nyingi,ni imani gani unayojaribu kuisema hapa?Aawapi hayo nimaneno ya mkosaji.
wahaya.
wachaga.
wasukuma.
wakurya.
wanyakyusa.
wanyamwezi.
wazaramo na makabila mengine yote ya Tanzania wameonyesha imani kubwa sana kwa JPM na CCM mpya.
Wengine tulishalia sana awamu ya kwanza ya magufulli hadi tumezoeaWanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.
Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Itafika wakati hata JF itafungiwa, ndio watasherekea chini ya uvungu, uzuri ni kwamba namba wataisoma watanzania wote bila kujali upinzani wala CCMWanaocheka wanaweza wakaja kulia baadae na wanaolia wanaweza wakaja kucheka vile vile, siku zote hata biashara ikikosa ushindani usitegemee huduma nzuri na ndio hivyo hivyo kukosekana kwa Upinzani msitegemee mambo yatakuwa sawa kama mnavyodhania, yanaweza yakapitishwa masheria kandamizi zaidi sababu hakuna wakubisha tena.
Mnaoshangilia leo kaeni mguu sawa.
Hata sisi tumechoka na wizi na udhalimu wenu!
Sawa mgaanga wa kienyejiAmna rangi wataacha ona wacha washerekee tu! Miaka mitano hii tutaona vichekesho sana
Mmbunge wa jimbo letu jana kafanya pati ya nguvu kachinja ng'ombe watano na kulewesha watu mpk wakatambaa pamoja na kuwajaza mapesa, siasa hizi jamani!!!! Kibamba moja hyo.Amna rangi wataacha ona wacha washerekee tu! Miaka mitano hii tutaona vichekesho sana