machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Wacha wale na kunywa mpaka wazimeMmbunge wa jimbo letu jana kafanya pati ya nguvu kachinja ng'ombe watano na kulewesha watu mpk wakatambaa pamoja na kuwajaza mapesa, siasa hizi jamani!!!! Kibamba moja hyo.
mkuu mwambie basi baba yenu arudishe intaneti kama zamani kazi zinakwama huku makazini maana speed ya kinyonga kama ushindi si ashajipaAawapi hayo nimaneno ya mkosaji.
wahaya.
wachaga.
wasukuma.
wakurya.
wanyakyusa.
wanyamwezi.
wazaramo na makabila mengine yote ya Tanzania wameonyesha imani kubwa sana kwa JPM na CCM mpya.
jiongeze.mkuu mwambie basi baba yenu arudishe intaneti kama zamani kazi zinakwama huku makazini maana speed ya kinyonga kama ushindi si ashajipa
Duuh,....ulichoongea na mtoa mda ni tofauti kabisaAawapi hayo nimaneno ya mkosaji.
wahaya.
wachaga.
wasukuma.
wakurya.
wanyakyusa.
wanyamwezi.
wazaramo na makabila mengine yote ya Tanzania wameonyesha imani kubwa sana kwa JPM na CCM mpya.
watanzania wanaimani na JPM makabila yote,kada zote,dini zote.JPM awezi kuwakandamiza watu waliomuonyesha kwadhati kuwa wanaimani nae kwa kumpa kura za kishindo cha covid-19.Duuh,....ulichoongea na mtoa mda ni tofauti kabisa
Aisee mbona wametoa emoji ya kicheko maana hii Coment ni kucheka kiwango cha Bandama kufanyiwa Surgery......Ile mitano ilikuwa trailer, sahivi starring ndio anakutana na jambazi sasa ile scene ngumu katika movie ndio inakuja.
Don Yen(Meko) vs Boyka (wabongo)
Agizen kiroba cha popcorn
Nimekumbuka sentensi za kuongea Kinyume cha maana, hivi hii Topic ya sentensi za hivi ilikuwepo katika masomo ya lugha? au nilisomaga mwenyewe.....................watanzania wanaimani na JPM makabila yote,kada zote,dini zote.JPM awezi kuwakandamiza watu waliomuonyesha kwadhati kuwa wanaimani nae kwa kumpa kura za kishindo cha covid-19.
Yaaah ata kadi ya chama pendwa kwani shilling ngapi ili nipate kazi.Uzuri ni kwamba msoto utakaokuja hautakua selective, tuta-suffer wote.
Haina shida tutakubali tufungiwe ndani ya mghahawa pale TRA watajapokua wanapita kuchukua vyao.Wananchi wa hali ya chini wanampenda Magufuli mnoooo
Fanyeni kuishi mtaani mjichanganye na bodaboda, mamantilie, wenye magenge, masokoni, machinga ndio mtaijua nguvu ya John Pombe Magufuli
Mtoto wa nyani aliona vichaka vinaungua akawa anaruka na kushangilia ilipofika jioni ndio akajua hana pa kulala.Keyboard warriors wamegeuka kuwa manabii wa kutabiri yajayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto wa shoga nae aliruka ruka alipo sikia baba yake shoga ila ilapo ana ameinamishwa akajua anae fuata ni yeye.Mtoto wa nyani aliona vichaka vinaungua akawa anaruka na kushangilia ilipofika jioni ndio akajua hana pa kulala.