The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Salamu kwenu.
Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.
Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.
Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.
Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.
Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.
Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.
Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.
Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇
Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.
Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.
Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.
Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.
Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.
Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.
Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.
Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇