Awamu ya Sita inaendeleza tabia ya kuitenga mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Kusini

Awamu ya Sita inaendeleza tabia ya kuitenga mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Kusini

Naam acha jazba kuandika uchochezi
Wala hakuna uchochezi, watawala waikumbuke Kusini. Hongera MH Kassim Majaliwa kwa kuwa Mstari wa mbele kwote upo. Mikoa ya Kusini hata tuviwanda twa kuchakata sembe hamna. Mtwara gas walipiga bomba mchuchuma chali hadi leo. Kimsingi watawala wakisikia wakumbuke. Mama Karibu kusini utusalimie 2025 yaja.
 
Kila kukicha huwa unasema nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini ina miradi mingi na uchumi mkubwa kuliko kanda ya ziwa ukadiriki kusema ata Mwanza inazidiwa na njombe sasa mbona unalia lia nini? Acha rais apeleke maendeleo kwanza sehemu za maskini huko Mwanza na mikoa ya kaskazini then atawakumbuka nyie matajiri wa njombe.
Kumbe ukweli anaujua...

Kagera pamoja na kuwa na GDP per Capita ndogo kadri ya BOT...lakin ni mpaka mmoja tu wa huko kyerwa hauna lami...
Na wilaya zote zimeunganishwa na lami. Na sasa Hadi baadhi ya vijiji potential vinaunganishwa na lami.
Uwanja wa ndege uko busy
Meli ya mv Victoria inafanya kazi na imekarabatiwa....na Kuna mpya inajengwa.
Bandari zote zimekarabatiwa bukoba na kemondo...

Wakazi wake wanajenga nyumba Bora vijijini.


Halafu mtu anasema Ruvuma sijui njombe wakati Bado umaskini umetamalaki

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu jaribu kuandika ,ukweli.Njombe Ni sehemu ambayo JPM aliitengeneza vizuri Sana.NimekaaNjombe miaka mitano.Kuna soko kubwa zuri Sana.Walijengewa barabara ya lami kutoka Njombe mpaka Makete.Ludewa ,walijengewa barabara ya lami na zege.Jaribuni kutembea kabla hamjaandika.Wabena na wakinga wanamkumbuka Sana JPM.Labda Samia ndio hajafika huko.
Kwenda Makete kuna lami ni kweli, ila kwenda Ludewa, mziki bado sana mkuu. Wameruka ruka sana. Ila barabara toka Mbinga kwenda Mbamba Bay imejengwa vizuri, hapa tuwe wakweli, kazi imefanyika hasa.
 
Back
Top Bottom