Ndugu jaribu kuandika ,ukweli.Njombe Ni sehemu ambayo JPM aliitengeneza vizuri Sana.NimekaaNjombe miaka mitano.Kuna soko kubwa zuri Sana.Walijengewa barabara ya lami kutoka Njombe mpaka Makete.Ludewa ,walijengewa barabara ya lami na zege.Jaribuni kutembea kabla hamjaandika.Wabena na wakinga wanamkumbuka Sana JPM.Labda Samia ndio hajafika huko.