Mabibi na mabwana inatia moyo kuwa tuna mwanzo mpya. Katika awamu ya 6:
1. Urasimu uliokuwapo sasa unapigwa vita.
2. Upigaji mkubwa wa pesa uliokuwapo unapigwa vita.
3. Ugonjwa wa Corona uliopo sasa unakabidhiwa tume ya wataalamu waliobobea kwa ajili ya kushauri nini cha kufanya.
4. Tunatambua sasa umuhimu wa wakezaji kwamba tunawahitaji zaidi wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji wao.
5. Tunawahitaji wengine kwenye mashirikiano ya kimataifa ili kuweza kufika mbali zaidi.
6. Kodi ya dhuluma haihitajiki.
7. Nk nk yakiwamo ajira, mzunguko wa pesa, masoko yakiwamo ya mazao nje.
Wandugu mwanzo huu ni mwema asiyeuona hivyo na aendelee kutokuuona.
Cc: Mjingamimi, Johnthebaptist na wale wenzetu na sisi.
Hiiiiii!
1. Urasimu uliokuwapo sasa unapigwa vita.
2. Upigaji mkubwa wa pesa uliokuwapo unapigwa vita.
3. Ugonjwa wa Corona uliopo sasa unakabidhiwa tume ya wataalamu waliobobea kwa ajili ya kushauri nini cha kufanya.
4. Tunatambua sasa umuhimu wa wakezaji kwamba tunawahitaji zaidi wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji wao.
5. Tunawahitaji wengine kwenye mashirikiano ya kimataifa ili kuweza kufika mbali zaidi.
6. Kodi ya dhuluma haihitajiki.
7. Nk nk yakiwamo ajira, mzunguko wa pesa, masoko yakiwamo ya mazao nje.
Wandugu mwanzo huu ni mwema asiyeuona hivyo na aendelee kutokuuona.
Cc: Mjingamimi, Johnthebaptist na wale wenzetu na sisi.
Hiiiiii!