Awamu ya sita si awamu ya tano, hongera mama Samia

Mpaka Sasa Sijaona Kipaumbele cha Huyu mama, anafurahisha uma na wakosoaji wa Awamu ilopita, sijui anachokwepa ni kukosolewa ? Nafsi yangu inakataa kumwamini huyu Mama.
 
Mpaka Sasa Sijaona Kipaumbele cha Huyu mama, anafurahisha uma na wakosoaji wa Awamu ilopita, sijui anachokwepa ni kukosolewa ? Nafsi yangu inakataa kumwamini huyu Mama.

Hauko peke yako. Hata hawa hapa:



Wana machungu sana na askofu Rashid kwa kutokufanya ile kazi yake pendwa ya kutofufua wafu.

Hiiiiii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…