Pre GE2025 Awamu ya sita watu wanatamani kugombea nafasi ndani ya CCM kuliko awamu ya tano. Je ni kweli!?

Pre GE2025 Awamu ya sita watu wanatamani kugombea nafasi ndani ya CCM kuliko awamu ya tano. Je ni kweli!?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Leo kwenye kipindi chao cha minyama kitenge ametoa maoni yake ya kwamba hivi sasa watu wanapenda kugombea nafasi ndani ya CCM kuliko awamu iliyopita kwa sababu awamu iliyopita kuna maeneo watu walipita bila kupingwa.

Kwa takwimu za uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 vijana wengi walichukua form na kugombea nafasi ndani ya CCM kwa sababu Moja tu watu waliamini kuna usawa na yeyote anaweza kushinda nafasi yoyote.

Je hivi sasa kuna Imani ya usawa kwa watu au hivi sasa watu wana pesa nyingi kitu kinachopelekea watu kuwa na mashaka juu ya kwenda kuchukua form na kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama?.
 
Ni sahihi kwasababu awamu ya tano kama ulikuwa na kando kando unawekwa pembeni kama fisadi unawekwa kando ila awamu hii NI UHURU WA MANYANI.
 
Ndio, pesa yako Tu! Ukipiga hesabu ya bei ya kila Kura na idadi ya Kura unazohitaji ili ushinde kisha ukalinganisha na salio lako Benki na ukahesabu faida utakayopata ukiwemo kujigawia viwanja vya maeneo wazi. Basi unagombea!
 
Leo kwenye kipindi chao cha minyama kitenge ametoa maoni yake ya kwamba hivi sasa watu wanapenda kugombea nafasi ndani ya CCM kuliko awamu iliyopita kwa sababu awamu iliyopita kuna maeneo watu walipita bila kupingwa.

Kwa takwimu za uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 vijana wengi walichukua form na kugombea nafasi ndani ya CCM kwa sababu Moja tu watu waliamini kuna usawa na yeyote anaweza kushinda nafasi yoyote.

Je hivi sasa kuna Imani ya usawa kwa watu au hivi sasa watu wana pesa nyingi kitu kinachopelekea watu kuwa na mashaka juu ya kwenda kuchukua form na kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama?.
Sababu ni ubadhirifu uliopitiliza wa viongozi wa ngazi zote, hakuna wa kumuwajibisha mwingine.
 
Back
Top Bottom