Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #121
Tatizo si ngozi , ni akili au short of.Kwakweli inafikirisha sana. Jinsi Magufuli alivyojipambanua kulinda mali za umma akateua wazalendo kila mahali na sasa haya ndio matokeo kila mradi. Hii ngozi kweli imelaaniwa.
Watu wengi wasio na akili hufikiri wale wenye madaraka ndio wanaweza kuendesha biashara, mfano huo sasa, UDART imefeli mikononi mwao.
Somo la kufeli DMT na UDA wala halikuwaingia kichwani