Awamu za mwisho za SGR ya Tanzania kujengwa na wataalamu wa Kitanzania.

Kweli wewe ni kichefu chefu
 
Kipande chapili cha ke sgr (120km) kimejengwa sasa miaka tatu..ukienda site mchina hafanyi kazi anawatongoza wasichana wa maasai
bwhahaaa...na ni kwel ujenzi ulianza miska mitatu iliyopita....
lkn vp pesa zipo kwel..duh!!kumbe ndugai ana akili sometimes
 
Kipande chapili cha ke sgr (120km) kimejengwa sasa miaka tatu..ukienda site mchina hafanyi kazi anawatongoza wasichana wa maasai
bwhahaaa...na ni kwel ujenzi ulianza miska mitatu iliyopita....
lkn vp pesa zipo kwel..duh!!kumbe ndugai ana akili sometimes
 
Kipande chapili cha ke sgr (120km) kimejengwa sasa miaka tatu..ukienda site mchina hafanyi kazi anawatongoza wasichana wa maasai
bwhahaaa...na ni kwel ujenzi ulianza miska mitatu iliyopita....
lkn vp pesa zipo kwel..duh!!kumbe ndugai ana akili sometimes
 
Jamani mie nakumbuka lile treni letu enzi tunasoma!
Yaani dar mza siku tatu ilikuaje raha!
Bro wangu alipata mke humo humo!
Hata uwe domo zege mmekaa na mtoto mkalee kwa siku tatu mfululizo lazima kieleweke tu!
Mamaamake,umenikumbusha mbali sana mkuu[emoji23] nilishuhudia kwa macho yangu jamaa yangu mmoja yuko wizara ya madini sasa,Akimkatikia demu mmoja wamekutana kwenye treni mpaka demu akakojoa na abiria wengine tupo tuu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mamaamake,umenikumbusha mbali sana mkuu[emoji23] nilishuhudia kwa macho yangu jamaa yangu mmoja yuko wizara ya madini sasa,Akimkatikia demu mmoja wamekutana kwenye treni mpaka demu akakojoa na abiria wengine tupo tuu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Daaah nimecheka mpka machozi yametoka mkuu
 
Kama barabara tu walishindwa kuhenfa zimaluze foleni Ubungo na Tazara wataweza reli kwa miaka 2 ya kuangalua Waturuki, sio kwa wataalamu wa bongo ni ndoto hizo.
 
only in tanzania kitu cha bei chee ndio bora....hahahaaaa...pesa hamna..unafanya mchezo na jiwe...sasa anatafuta mbinu ya kuwapiga hao wafanyikazi hela za mboga...alafu hapo ujue tayari ni kitu low quality...
Wewe endelea kuuza m.Ku...u hapo Mombasa mana ndo kazi ulioichagua,mana kazi hamna jubilee wamefisadi pesa yote ya nchi.
 
Tumefika mwisho Wabongo, kwani ATCL imefika wapi?
 
Wewe endelea kuuza m.Ku...u hapo Mombasa mana ndo kazi ulioichagua,mana kazi hamna jubilee wamefisadi pesa yote ya nchi.
bwahahaa..kumbe hta ni dondocha la ccm...kila kitu ndiooo fuata...
kwhyo musemo yako ya leso hainishtui..hhh
 
Wewe akili finyu sio wote wako nazo, wewe ukiona serikali imeweka mkandarasi wa kigeni wakati mwingine sio kwa sababu hakuna mkandarasi mzawa bali ni moja ya sharti la financier

Mbona barabara ya njia 12 kimara ambayo serikali ndio financier imeweka mkandarasi mzawa? Viwanja vingi vya ndege kikiwemo cha Mtwara na Geita vinajengwa na TANROADS

Hakuna kitu kwenye ujenzi wa railways zaidi ya vifaa vya kibabe, kazi almost 80% ya ujenzi inahusisha earthworks ambazo ni za civil engineers ambao ndio hao hao wa mabarabara, machine operators wa hivyo vifaa tunao wengi tu

Kwa akili finyu kama yako Africa kurusha satellite space ni ndoto, hata wa China walikuwa kama sisi ila tofauti yao hawakuwa na kilaza kama wewe kwenye uongozi wa nchi.


Study case ya masharti ya financier kupredict the constructor ni hii

 
Feasibility studies za BRT, Reli, barabara, madaraja na hata kwenye mawasiliano (rada) kote tumefanya wenyewe. Kuweka mataluma tumekuwa tukifanya wenyewe siku nyingi tuu na hiyo ya kuweka tuta ni civil work ambayo ndiyo taaluma kongwe ya kiuhandisi Tanzania.

Kitu ambacho hatukuwahi kufanya ni teknolojia ya kielektroniki ya kutengeneza njia ya reli (Railway signalling) ambayo baada ya reli hii kukamilika tutakuwa tumepata ujuzi. Kiukweli siyo ujuzi bali ni utundu, haya mambo msingi wake ni mmoja ila ni kubadilisha vitu vidogo vidogo kwa kazi husika.
Hakuna mfanyabiashara atauza ujuzi ili akose kazi. Labda kama Mkataba unawataka waturuki watutrain na kuna watu wanafuatilia utekelezaji wa hiyo clause ya mkataba.
Kwani unafikiri ujenzi wa reli ni mazingaombwe? Mass, length and time wanazosoma ulaya ndo hizo hizo tulizosoma sisi wamatumbi na ndiyo msingi wa kila kitu.
only in tanzania kitu cha bei chee ndio bora....hahahaaaa...pesa hamna..unafanya mchezo na jiwe...sasa anatafuta mbinu ya kuwapiga hao wafanyikazi hela za mboga...alafu hapo ujue tayari ni kitu low quality...
Bei kubwa mara nyingi sio ubora bali ni saikolojia, watu huamini kitu cha gharama ni bora zaidi na huu ndio msingi wa ubepari (perception). Miaka ya nyuma nilikuwa natengeneza bidhaa fulani (software) nikiuza kati ya $90 -$100. Nikajifunza mahali kuhusu "perceived value" basi nikaongeza bei mara tatu zaidi bila kubadilisha chochote, cha ajabu mauzo yaliongezeka.
 
Mambo ya kuita vitu vya kitaaluma utundu ni usanii.
Ikiwa wamejipanga kufanya hivyo na wanaujuzi wa kushiba sipingi ila kama ni misisimo tu ambayo haina mipango ya kueleweka wanachokifanya kitaaluma kitaitwa '' Workaround''.
 
Wakenya wao wanasubiri vichina vinunue parachichi baada ya kuharibu SGR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…