Awamu za mwisho za SGR ya Tanzania kujengwa na wataalamu wa Kitanzania.

Awamu za mwisho za SGR ya Tanzania kujengwa na wataalamu wa Kitanzania.

Mambo ya kuita vitu vya kitaaluma utundu ni usanii.
Ikiwa wamejipanga kufanya hivyo na wanaujuzi wa kushiba sipingi ila kama ni misisimo tu ambayo haina mipango ya kueleweka wanachokifanya kitaaluma kitaitwa '' Workaround''.
Wewe ni miongoni mwa "Negative" society. Thread imeekeza vizuri sana jinsi ambavyo Tanzania inajiandaa kumalizia awamu za mwisho kwa kutumia wataalamu wake, lakini kwasababu wewe ni miongoni mwa watu wenye Negative attitude, lazima uonyeshe kupinga, kama pale Muhimbili tunaweza kufanya Operations za MOYO, na kupandikiza figo wenyewe , iweje tushindwe kutengeneza tuta la kupitisha reli, tena baada ya kujifunza kwa waturuki kwa miaka sita tukiwa nao field?.
 
Wewe ni miongoni mwa "Negative" society. Thread imeekeza vizuri sana jinsi ambavyo Tanzania inajiandaa kumalizia awamu za mwisho kwa kutumia wataalamu wake, lakini kwasababu wewe ni miongoni mwa watu wenye Negative attitude, lazima uonyeshe kupinga, kama pale Muhimbili tunaweza kufanya Operations za MOYO, na kupandikiza figo wenyewe , iweje tushindwe kutengeneza tuta la kupitisha reli, tena baada ya kujifunza kwa waturuki kwa miaka sita tukiwa nao field?.
habari imeandikwa kimashaka sio confirmation.
sasa kwa nini tusihoji katika angle zote mkuu.
sijaona mpango mkakati wa utekelezaji wa hayo maneno.
makataba ulisainiwa unatoa hiyo fursa.
Kuna mambo mengi mno hayapatikani kwenye hiyo habari ili ikidhi viwango vya kushangiliwa na kuichukua.

wengine sio waumini wa kushabikia nadharia na maneno ya kisiasa ambayo hayaonyeshi itakuwaje. Vingijevyo tuseme hii ni taarifa ya awali, habari husika itakuja.
 
habari imeandikwa kimashaka sio confirmation.
sasa kwa nini tusihoji katika angle zote mkuu.
sijaona mpango mkakati wa utekelezaji wa hayo maneno.
makataba ulisainiwa unatoa hiyo fursa.
Kuna mambo mengi mno hayapatikani kwenye hiyo habari ili ikidhi viwango vya kushangiliwa na kuichukua.

wengine sio waumini wa kushabikia nadharia na maneno ya kisiasa ambayo hayaonyeshi itakuwaje. Vingijevyo tuseme hii ni taarifa ya awali, habari husika itakuja.
Taarifa imejieleza vizuri na ipo wazi sana MKUU, tatizo ni kwamba wewe umeitizama katika mtazamo hasi. Taarifa inasema kwamba, kunauwezekano wa awamu za mwisho kujengwa na wataalamu wa kitanzania, kwasababu, kwasasa hivi ,95% ya wanaojenga ni watanzania.

Waziri alilisema hilo na kuwataka mafundi wote na Engineers wote wajifunze kwa umakini kwasababu kunauwezekano Serikali ikanunua mitambo yake ili imalizie, na Kadogosa naye amelirudia hilo, wapi penye kukuletea utata hadi useme hatutoweza?
 
Mambo ya kuita vitu vya kitaaluma utundu ni usanii.
Ni utundu tuu, unaotumia kanuni za kisayansi na kihisabati, usanii kwa upande mwingine hautumii kanuni maalumu.

Kwa miaka mingi (millennia) wajenzi wa madaraja walikuwa wanatumia "arch principle"... tuiite (A), kuelekeza uzito (juu ya daraja) chini kwenye kingo. karne iliyopita wakaamua kuigeuza kanuni hiyo (juu chini) na kutengeneza "suspension bridge" (B) . kanuni ni ile ile lakini walitumia utundu kutengeneza aina mpya ya madaraja. Siku hizi utundu umeongezeka madaraja ya kuvutia zaidi yanasanifiwa (c) ila kanuni bado ni zile zile, yaani unaukusanya uzito sehemu moja na kuutupa kule chini.

A
Screenshot_2019-05-25 roman bridges - Google Search.png


B
Screenshot_2019-05-25 suspension bridge - Google Search.png


C

Screenshot_2019-05-25 Gateshead Millennium Bridge - Google Search.png
 
Mtambo wa Konyagi unakamilikia Morogoro...😂😂burret train bye bye. Huu ni mradi uliofeli Kama ule was ATCL, Bagamoyo Port na Koroshow.
 
Mtambo wa Konyagi unakamilikia Morogoro...[emoji23][emoji23]burret train bye bye. Huu ni mradi uliofeli Kama ule was ATCL, Bagamoyo Port na Koroshow.
Hahahahaha, wakati Tanzania inajiandaa kujenga reli yake kwa kutumia wataalamu wake, Nyang' au hata maji ya kuchambia akitoka chooni ni shida kuyapata. Hiyo ndio maana halisi ya Failed state.
 
Mtambo wa Konyagi unakamilikia Morogoro...😂😂burret train bye bye. Huu ni mradi uliofeli Kama ule was ATCL, Bagamoyo Port na Koroshow.
Dah! Ina maana serikali ya danganyika imefilisika so wanataka kuajiri locals hata wasipolipwa hawatathubutu kufungua vinywa vyao kwa kumuogopa dikteta.
Usishangae kuona jeshi lao likifanya hiyo kazi kwa amri ya DICTATOR
 
Dah! Ina maana serikali ya danganyika imefilisika so wanataka kuajiri locals hata wasipolipwa hawatathubutu kufungua vinywa vyao kwa kumuogopa dikteta.
Usishangae kuona jeshi lao likifanya hiyo kazi kwa amri ya DICTATOR
Hahahahaha, Nyang'au hata kuendesha train ni mchina, wakenya wanachapwa viboko na wachina wasipofagia ofisi za wachina. Failed state indeed
 
Mbongo ni fundi sana na mtendaji mzuri sana akisimamiwa na kubanwa na ngozi nyeupe lakini mpe kandarasi yeye sasa!!!! maweeeee!!! hakuna rangi utaacha kuona....kwanza kazi itauzwa mpaka mtu wa nne ndio anaenda kufanya level zote ni cha juu tuu. Yule wa mwisho sasa mafundi wanajiibia mafuta(kupiga nyoka) , safuji na nondo watakavyo mwisho wa siku kazi inakuwa mbovu na kiwango duni. Yule aliyepewa kazi tayari hata site hajawahi kushuka kishakua bodi tayari anatumbua maisha, kutoa misaada kwenye jamii ili akagombeee
 
Hahahahaha, wakati Tanzania inajiandaa kujenga reli yake kwa kutumia wataalamu wake, Nyang' au hata maji ya kuchambia akitoka chooni ni shida kuyapata. Hiyo ndio maana halisi ya Failed state.
Hahahaha, si hata Bagamoyo mlikuwa mnajiandaa? ATCL vile vile? Hizo zimeishia wapi dead state?
 
Mbongo ni fundi sana na mtendaji mzuri sana akisimamiwa na kubanwa na ngozi nyeupe lakini mpe kandarasi yeye sasa!!!! maweeeee!!! hakuna rangi utaacha kuona....kwanza kazi itauzwa mpaka mtu wa nne ndio anaenda kufanya level zote ni cha juu tuu. Yule wa mwisho sasa mafundi wanajiibia mafuta(kupiga nyoka) , safuji na nondo watakavyo mwisho wa siku kazi inakuwa mbovu na kiwango duni. Yule aliyepewa kazi tayari hata site hajawahi kushuka kishakua bodi tayari anatumbua maisha, kutoa misaada kwenye jamii ili akagombeee
Barabara za Tanzania zimejaa mahandaki. Hiyo highway mtakayojenga haitamaliza mwaka bila kukarabatiwa.
Sasa reli nayo usiseme. Mitambo itakuwa inalala ovyoovyo kando kwa sababu ya kuchoka
ichoboy01 joto la jiwe game over
 
Hahahaha, si hata Bagamoyo mlikuwa mnajiandaa? ATCL vile vile? Hizo zimeishia wapi dead state?
Ninyi si hata SGR lenu la zamani limewashinda, njaa imewashinda, MAJI ya kuchambia hapo CBD yamewashinda, Slums Kibera na Korogojo na Kawangware zimewashinda,. Failed state.
 
Tanzania never fails to disappoint, yani unaweza bet they will complete a project kumbe haitaeezekana na tayari ushaweka dau, inakunywa maji hivo tu.
 
Back
Top Bottom