Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
HaterHamna kitu
We mk*ndu nini nimchukie msanii ilininufauke na niniHater
Hapo ulipopanic ndo uhater wenyewe ulivyoππWe mk*ndu nini nimchukie msanii ilininufauke na nini
Au sioHapo ulipopanic ndo uhater wenyewe ulivyoππ
Kuna kitu kimekwama hapo shingoni huwa hakitokagi mpaka utukane
Psychoanalysts tunajua
EnheeeHawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.
Sasa hivi nangβaa kama habibty kutoka Oman kwa amani na raha anazonipea kaka mzuri [emoji12]π«Ά[emoji2534]
Mwanaume gani huyo anaingia penzini kichwakichwa?Mwanaume akishakuwa penzini anang'aa kweli....Mariooπ
Hakika tumezeeka mkuu, shkamoo zimezidi.Hahaha.......sio rahisi Mkuu, maana kila tukiwasalimia Warembo "Mambo" wanasema "Shikamoo" π
Kweli tumezeeka π
Hawa watu wamenifanya nianze kupaka piko ili walau kupunguza hizi Mvi...Hakika tumezeeka mkuu, shkamoo zimezidi.
Saivi hakuna kwenda Uturuki tena, mambo ni hapo hapo Mloganzila πIla harmonize ana chekesha, Eti Kama rahisi kuwa na shape.
πWaka jaribu mlongazilaπ€£ππ€
Yeah kweli mkuu sasa hivi kuna chipukizi wanakuja kwa kasi wanatoa nyimbo nzuri sana, kuna huyo halafu kuna dogo mwingine anaitwa Ronze kuna Platform ila sijui hawana management nzuri yani hawapigiwi promo na hawasikiki sana, halafu kuna watu wanasema eti Diamond Platnumz akifa bongo fleva itakufa hawajui sasa hivi kuna wasanii wengi wazuriNyuzi za Harmonize zimekuwa nyingi mmetumwa ku promote nyimbo sio!! Nyimbo kama kali itakiuza yenyewe tu.
Kuna dogo anaitwa Bruce Africa alizoaga nyimbo inaitwa "You my Angel" wimbo mkali sana una viewers wa kutosha lakin sikuwahi kusikia ukifanyiwa promo.
Sio amapiano, ni Nyimbo nzuri mno π€, konde kaua.Ni amapiano au, producer ni nani, kama ni Abbah Process niambie nikautafute sasa hivi mkuu
Ronze namjua, ana Nyimbo Ina I naanzaje ft lody music.Yeah kweli mkuu sasa hivi kuna chipukizi wanakuja kwa kasi wanatoa nyimbo nzuri sana, kuna huyo halafu kuna dogo mwingine anaitwa Ronze kuna Platform ila sijui hawana management nzuri yani hawapigiwi promo na hawasikiki sana, halafu kuna watu wanasema eti Diamond Platnumz akifa bongo fleva itakufa hawajui sasa hivi kuna wasanii wengi wazuri
Bonge la dongoπ, sema jamaa kwa Sasa ndio ana tembea na mtaa.Saivi hakuna kwenda Uturuki tena, mambo ni hapo hapo Mloganzila π
Ila hili litakuwa dongo kwa wanaomsema anapenda midemu yenye misambwanda ππ
Tatizo Hana chawa yule,na kwakweli Ile ngoma wadada wametembea nayo sanaNyuzi za Harmonize zimekuwa nyingi mmetumwa ku promote nyimbo sio!! Nyimbo kama kali itakiuza yenyewe tu.
Kuna dogo anaitwa Bruce Africa alizoaga nyimbo inaitwa "You my Angel" wimbo mkali sana una viewers wa kutosha lakin sikuwahi kusikia ukifanyiwa promo.
Hajui huyoπ€, tena wana act vibaya mno.Mwanaume gani huyo anaingia penzini kichwakichwa?
Na hawa wadada wa kizazi hiki, umakini muhimu sana!
Na zote konde kaua zaidi.Naogopa ni Kali zaidi
1 in a million teacher πHata mimi nilikuwa kama wewe hadi nilipompata huyu tunayependana kiukweli, amini utafika wakati wako nawe utapata tunachopata.