Away by Marioo ft Harmonize 🔥🔥🔥

Away by Marioo ft Harmonize 🔥🔥🔥

Nyuzi za Harmonize zimekuwa nyingi mmetumwa ku promote nyimbo sio!! Nyimbo kama kali itakiuza yenyewe tu.

Kuna dogo anaitwa Bruce Africa alitoaga nyimbo inaitwa "You my Angel" wimbo mkali sana una viewers wa kutosha lakin sikuwahi kusikia ukifanyiwa promo.
 
Hawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.
Sasa hivi nang’aa kama habibty kutoka Oman kwa amani na raha anazonipea kaka mzuri [emoji12]🫶[emoji2534]
Enheee
 
Ni amapiano au, producer ni nani, kama ni Abbah Process niambie nikautafute sasa hivi mkuu
 
Nyuzi za Harmonize zimekuwa nyingi mmetumwa ku promote nyimbo sio!! Nyimbo kama kali itakiuza yenyewe tu.

Kuna dogo anaitwa Bruce Africa alizoaga nyimbo inaitwa "You my Angel" wimbo mkali sana una viewers wa kutosha lakin sikuwahi kusikia ukifanyiwa promo.
Yeah kweli mkuu sasa hivi kuna chipukizi wanakuja kwa kasi wanatoa nyimbo nzuri sana, kuna huyo halafu kuna dogo mwingine anaitwa Ronze kuna Platform ila sijui hawana management nzuri yani hawapigiwi promo na hawasikiki sana, halafu kuna watu wanasema eti Diamond Platnumz akifa bongo fleva itakufa hawajui sasa hivi kuna wasanii wengi wazuri
 
Yeah kweli mkuu sasa hivi kuna chipukizi wanakuja kwa kasi wanatoa nyimbo nzuri sana, kuna huyo halafu kuna dogo mwingine anaitwa Ronze kuna Platform ila sijui hawana management nzuri yani hawapigiwi promo na hawasikiki sana, halafu kuna watu wanasema eti Diamond Platnumz akifa bongo fleva itakufa hawajui sasa hivi kuna wasanii wengi wazuri
Ronze namjua, ana Nyimbo Ina I naanzaje ft lody music.
👉Wali Tisha mno.
👉Bruce naye ana jua
 
Saivi hakuna kwenda Uturuki tena, mambo ni hapo hapo Mloganzila 😅

Ila hili litakuwa dongo kwa wanaomsema anapenda midemu yenye misambwanda 😜🙌
Bonge la dongo😃, sema jamaa kwa Sasa ndio ana tembea na mtaa.
 
Nyuzi za Harmonize zimekuwa nyingi mmetumwa ku promote nyimbo sio!! Nyimbo kama kali itakiuza yenyewe tu.

Kuna dogo anaitwa Bruce Africa alizoaga nyimbo inaitwa "You my Angel" wimbo mkali sana una viewers wa kutosha lakin sikuwahi kusikia ukifanyiwa promo.
Tatizo Hana chawa yule,na kwakweli Ile ngoma wadada wametembea nayo sana
 
Back
Top Bottom