Away by Marioo ft Harmonize πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Away by Marioo ft Harmonize πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

tutafanyaje mkuu kama tunakua maeneo na dj anapiga nyimbo ya chapati ni kwenda na kasi ya vijana tuh hamna namna
Kwa kweli Mkuu.......maana hapa nilipo nimemwambia DJ airudie hii ngoma mara 3 ili kwenda sawa na Vijana πŸ€—

Maisha yenyewe ndiyo hayahaya tu πŸ€—
 
Hawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.
Sasa hivi nang’aa kama habibty kutoka Oman kwa amani na raha anazonipea kaka mzuri 😜🫢🏽
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Wewe hayo macho yatachelewa sana kupona 🀣🀣
Najiuliza hii kitu extra kwenye mapenzi mnapata ni nini? Mbn mm niwe na mpenzi nisiwe nae mi ni yule yule tu sipauki sing'ai
 
Back
Top Bottom