Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Tarehe 24 usafi uje na redio yak ukipiga ziki kuubwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nini hicho😃🤒Tarehe 24 usafi uje na redio yak ukipiga ziki kuubwaa
Unakuta mtu anawaponda wenye misambwana ila tukiwaacha mademu zetu bar tukienda washroom hawaachi kuombeleza namba 😜Bonge la dongo😃, sema jamaa kwa Sasa ndio ana tembea na mtaa.
We njoo na hz harmonize zkNdo nini hicho😃🤒
Ahh kaeni nao tu, mi team slim curvy😃🤒.Unakuta mtu anawaponda wenye misambwana ila tukiwaacha mademu zetu bar tukienda washroom hawaachi kuombeleza namba 😜
Bora tumezeeka tu 🤗
Mbona haelewekii 😂, nije wapi ??.We njoo na hz harmonize zk
Njoo tu na nziki nkubw
Nime cheka Sana 😂😁😂 ogopa sana kiumbe kilichowahi piga story na nyoka kama unampango wa kukuza pato lako
Hahaha.......fanya kumtambulisha kwa Babu yake hapa walau tuwape baraka za Wazee 😜Ahh kaeni nao tu, mi team slim curvy😃🤒.
👉Yumo Humu ni 🔥🔥
Aahh wapi 😃🤣🙄, nyinyi wazee wa ma PDF🤣.Hahaha.......fanya kumtambulisha kwa Babu yake hapa walau tuwape baraka za Wazee 😜
Sometimes we do love English figures
Kuweni na huruma na Wazee...mara hii kuna Pdf za Wazee tena 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️Aahh wapi 😃🤣🙄, nyinyi wazee wa ma PDF🤣.
👉 Google slim curvy Uzi one, hizi ni tofauti na slim nyingine 🤒
Wazee wa msata 😃, sema slim curvy ni 🔥🔥🔥Kuweni na huruma na Wazee...mara hii kuna Pdf za Wazee tena 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Wananipinga bhana😜Hawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.
Sasa hivi nang’aa kama habibty kutoka Oman kwa amani na raha anazonipea kaka mzuri 😜🫶🏽
Wee amkeni mta Kojoa kitandani🤣😃Wananipinga bhana😜
😂😂😂Hakika tumezeeka mkuu, shkamoo zimezidi.
😂😂😂Hawa watu wamenifanya nianze kupaka piko ili walau kupunguza hizi Mvi...
Kuhusu huu mkongojo ninaoutembelea nitawaambia kuwa nilipewa urithi wa kile kifimbo cha Mwl. Nyerere 😜
Mzee Ume Anza fix😃🤣🤣Hawa watu wamenifanya nianze kupaka piko ili walau kupunguza hizi Mvi...
Kuhusu huu mkongojo ninaoutembelea nitawaambia kuwa nilipewa urithi wa kile kifimbo cha Mwl. Nyerere 😜
Uzee mbaya😃🤣🤣