Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
Nakumbuka nilitoa ushauri kama huu kabla Mudathir Yahya hajasajiriwa Jangwani.
Ukimtoa Triple C pale Msimbazi hakuna playmaker mwingine kitu kinachoifanya timu icheze mpira mgumu usioeleweka.
Awesu Awesu ataifaa sana timu kwani ni bonge la playmaker.
Kazi kwenu viongozi.
Ukimtoa Triple C pale Msimbazi hakuna playmaker mwingine kitu kinachoifanya timu icheze mpira mgumu usioeleweka.
Awesu Awesu ataifaa sana timu kwani ni bonge la playmaker.
Kazi kwenu viongozi.