Awesu Awesu wa KMC ni bonge la mchezaji (playmaker) viongozi wa Simba SC anzeni mchakato wa kumchukua

Awesu Awesu wa KMC ni bonge la mchezaji (playmaker) viongozi wa Simba SC anzeni mchakato wa kumchukua

Awesu Awesu ni Raia wa wapi huyo jamaa anajua boli sio mchezo yaani Mpira unamtii yeye...
Huyo jamaa (Awesu) alimoutplay kabisa Doctor wa mpira Aucho siku ya mechi ya KMC vs Yanga hapo juzi. Jamaa anajua ball, mimi nilidhani ni raia wa Ghana. Halafu alisajiliwa Azam, wakashindwa kumtumia ikabidi wamtoe kwa mkopo KMC. Ila Azam wajinga sana aisee.
 
Huyo jamaa (Awesu) alimoutplay kabisa Doctor wa mpira Aucho siku ya mechi ya KMC vs Yanga hapo juzi. Jamaa anajua ball, mimi nilidhani ni raia wa Ghana. Halafu alisajiliwa Azam, wakashindwa kumtumia ikabidi wamtoe kwa mkopo KMC. Ila Azam wajinga sana aisee.
Jana nimeshangaa sana kuambiwa Awesu ni Mtanzania hapa ilibidi niulize tena mtaani maana nami nilijua alikuja na Akameko kumbe ni Mzanzibar bhana kweli Timu yetu inachaguliwa na watu wasio wa Mpira huyo mtu sio wa kuachwa..
 
Yule KOCHA ndo alikuwa FALA sana
AFCON ya mwaka huu ndo ilikuwa yetu
Kocha alituangusha sana
Sio kocha tatizo ni TFF inajidalalia kuchukua makocha wa kawaida na kuwachagulia wachezaji wale Zambia walikua wanakufa na tungefika mbali kama DRC sema ndio hivyo Nchi haina viongozi wa Mpira sahihi..
 
Awesu ni mchezaji wa kawaida mchezaji wa timu ndogo na ameshakua jua la magharibi hawezi kuongeza kitu kwa Simba labda wingi wa wachezaji tuu
 
Huyo jamaa (Awesu) alimoutplay kabisa Doctor wa mpira Aucho siku ya mechi ya KMC vs Yanga hapo juzi. Jamaa anajua ball, mimi nilidhani ni raia wa Ghana. Halafu alisajiliwa Azam, wakashindwa kumtumia ikabidi wamtoe kwa mkopo KMC. Ila Azam wajinga sana aisee.
Upo sahihi Aucho alisababisha faulo mbili ambazo angeweza kupata Yellow Card ila Aucho anajua Boli aisee daah...
 
Kuna watu hawajui Mpira. Awesu ni mchezaji mzuri kabisaa siyo leo tu muda mwingi Yuko vizuri. Hapa Tz kuna ujinga mwingi sana ktk usajili. Unamuacha Awesu unamchukua Bigirimana na wapuuzi wengine kisa tu ni kutoka nchi za mbali. Kevin Nashon alikuwa na uwezo mkubwa kuwazidi wengi lakini hakucheza timu kubwa mpka uwezo unaisha. Unabaki na Mwamnyeyo maboko na una Waziri wa Singida Big Star. Wengine ni Kihimbwa. Unamucha Dickson nje unamuweka Mnoga maboko. Sasa hiyo Mnoga si ubora ukachukue mchezaji wa ndondo Kinesi pale
 
Kaangalie mechi ya KMC na Simba 2-2 uone alivyo chafua dimba la kati pale
Hata Akaminko kwenye mechi za Simba na yanga hua ana onekana kama Kante wa Chelsea lakini baada ya hapo anarudi kwenye uhalisia wake, ni mchezaji wa kawaida mchezaji wa timu ndogo
 
Huyo jamaa (Awesu) alimoutplay kabisa Doctor wa mpira Aucho siku ya mechi ya KMC vs Yanga hapo juzi. Jamaa anajua ball, mimi nilidhani ni raia wa Ghana. Halafu alisajiliwa Azam, wakashindwa kumtumia ikabidi wamtoe kwa mkopo KMC. Ila Azam wajinga sana aisee.
sio walishindwa kumtumia,yeye ndio alishindwa kupambania namba ndipo wakamtoa kwa mkopo,awesu hana muendelezo (consistency) mechi moja anacheza vizuri nyingine hachezi vizuri,ndicho kinachomuangusha
 
Back
Top Bottom