Watu tunataka kuhama Marekani, tuhamie Mars, nyie ndiyo mnatamba kuwa na nyumba Marekani?
Seriously, hii habari ilivyoletwa mara ya kwanza hapa, nilimtetea AY, watu walisema kadanganya, mimi nikasema what's the big deal?
Sasa naona inarudiwarudiwa sana.
Nini AY, watu tumefanya ya AZ ya "Get High", lakini huwezi kusikia kelele za kilimbukeni.
I got cribs in the suburbs, the hood, and the city
A low crib with the wiz thats pretty
A crew crib where niggas bring biddies
A crib out mid, thats hid like Diddy's
A tropic spot out in the Caymans
A Cali spot the first time I copped
AZ - Get High