AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
huyu jamaa aliliwa KABANG, kwa sababu machalii walimkuta anasongesha guy mmoja hivi, ndio alipoundiwa a half marathon ya watu kula KABANG, sasa zote ni hasira, ila ndio hivyo tena haisaidii kitu watu walishajiungaga kifurushi
Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!

Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?

You people what are you smoking?
 
Sina chuki nae,mimi na-expose uongo wa kitoto sana kuhusu hii stupid kiki!

Ni Ifunda Tech,thats my poor part on my side.Tena alisoma na mwanangu marehemu anaitwa Kulembeka!Go and look it up!



Taja jina la show,dates,location na wahusika....Na brother,member wa event crew anapata 150milioni?Get the f.uck outta here!


Brother Mbudya island kila mtu hapa anaenda,ni boti na wala sio yatchs!

Stop lying!

Boti za Mbudya kwa siku zinakusanya kiasi gani vile?Rubbish.....Even Uber driver racks in more than Mbudya boat will ever make in a day!Hebu dont make people laugh here!

Dola 2,000USD?Man,cant you just stop lying this much!Boat ya Mbudya inakodishwa kwa dola 2,000USD?Aisee it shows how shameful you AY people are!



Hakimbizani na mziki wakati jana katoa single na hii kiki kaitoa ili kujenga buzz na hako ka-single kake!

You think people are stupid?

Na biashara unayosema iliyotoa pesa nyingi sana ni hizo boat za kwenda mbudya zinazonuka samaki na zimetoboka ndio biashara really?

Can you mention anything else?

Wekeni na evidence please!
Haaahaaa asee[emoji23] [emoji23]
 
UONGO kuujua ni mpaka umjue mtu personally?Man,are you for real kweli?

Really?

AY ni entertainer anajulikana na wapenda muziki,tena wa hiphop!From there,I dont who he is.....

Uongo ni uongo tu,numbers dont add up at all!

Eti leo AY ndio awafundishe Clouds how to book International artists?Are u people on cocaine?
What are the numbers that aren't adding up ?
 
Mkuu,nyumba wanasema kanunua Los Angeles United State of America na sio Oklahoma au Oregon huko madongo kuinama!

Nataka tuelewane hapa!

Uongo ni kitu kibaya sana....

Kama mpo true sana,toeni address ya hiyo property tuwaletee ownership yake hapa tumalize utata!

Kiki za kisenge sana hizi,na zinamfanya AY aonekana hana tofauti na Hamorapa hata chembe!
Haahaaa.....daaaah[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
This is a LIE!

Tupe case number hapa,mengine tutacheck wenyewe!

Iweje walipwe wote,AY ndio atakate kwa show offs nyingi na mbwembwe nyingi sana ila FA na Msando wanakula vumbi?

Why,why,why?

FA anakula vumbi,Msando na sifa zake zote anakula vumbi,eti ghafla bin vuu AY ndie tajiri?

GTFOH!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mbavu zangu asee[emoji23] [emoji23]
 
AY una hela kibongobongo ndio,
Out of box, binti umeoa mnyarwanda ni mkimbizi kule miaka kibao,ana apartment na unakaa kwake.
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Mkuu nkukosoe kwanza,,Mana povu limekutoka balsa,Ay kasoma Ifunda Tech na mwalimu Milinga ndo alikua wa sanaa
 
Afu na nyie wabongo muache kudanganywa mambo Madogo kama haya..wasanii wakubwa wazawa Wa us wenyewe kumiliki nyumba ni mtihani itakuwa huyu asie hata na Kiwanja kibada au gezaulole!?apartment sawa ila nyumba nops...juzi nmeona card b anaonesha nyumba insta anakwambia it was her childhood dream kumnunulia mamake nyumba tena anajisifia kwamba it is from her own money she has made..imagine Huyo ni msanii Wa marekani anajisikia fahari kununua nyumba tena ambaye ana treand Kwa sasa duniani.at aache uongo bhana sisemi kwamba haweI kununua ila Kwa pesa ipi!?
 
Aisee nyegezi wakinunua nyumba hata malawi au nairobi basi makelele mwanzo mwisho
 
Jamaa walilipwa ela na tigo ndo habari za kuhamia marekani na kununua nyumba zikasambaa, nina hakika na hili kwakuwa kesi yao ilikuwa chini ya Law firm ya akina msando na aliyekuwa anaisimamia kesi yao anafanya kazi kwa msando ni rafiki yangu nimesoma naye na siku walipolipwa walifanya kiparty.
Nyumba anaweza kuwa kanunua chini ya hiyo bei mbona check hapa zipo za bei nusu ya hapo
Propy - Buy or sell investment properties
Hawajawai kulipwa hiyo pesa...kesi bado iko court of appeal..na hata kama wakilipwa that money cannot afford to buy that house..kumbuka wako watatu and agreement yao msando alikua achukua 50 percent ya malipo sababu yeye ndo aliwapa mchongo they knew nothing kuhusu hizo claims..
 
Watu tunataka kuhama Marekani, tuhamie Mars, nyie ndiyo mnatamba kuwa na nyumba Marekani?

Seriously, hii habari ilivyoletwa mara ya kwanza hapa, nilimtetea AY, watu walisema kadanganya, mimi nikasema what's the big deal?

Sasa naona inarudiwarudiwa sana.

Nini AY, watu tumefanya ya AZ ya "Get High", lakini huwezi kusikia kelele za kilimbukeni.

I got cribs in the suburbs, the hood, and the city
A low crib with the wiz thats pretty
A crew crib where niggas bring biddies
A crib out mid, thats hid like Diddy's
A tropic spot out in the Caymans
A Cali spot the first time I copped

AZ - Get High


Ahahaaah!
Kiranga bhana!!!
 
It is very very bad mtu kutumia UONGO kujitafutia kick za namna hii!

Na uongo kama huu unapohusishwa na mtu kama AY,inaonesha how stupid he is!

Why can't people be honest?

The median home value in Los Angeles is $682,600!Uniambie kuna shows ngapi AY kafanya tangu anaanza mziki 2003 mpaka leo kapata hiyo hela?

Biashara gani za AY proven,zenye records na muweke evidences hapa.Na sio maneno ya mdomoni tu.

Lies spotted ni hizi:

1.AY kulipwa show moja milioni 150
2.AY kuwaleta wasanii wa USA nchini Tanzania (anaejua process ya CMG kuleta wasanii wa marekani nchini anaweza kuweka ukweli hapa maana Eve,Fat Joe,50 cents,Busta Rhymes,Ricky Ross,etc wote waliletwa na CMG,na AY can not teach Clouds on anything about this)
3.etc

All these are pure lies!
too much hate,wachawi ni wengi sana bongo
 
Sina chuki nae,mimi na-expose uongo wa kitoto sana kuhusu hii stupid kiki!

Ni Ifunda Tech,thats my poor part on my side.Tena alisoma na mwanangu marehemu anaitwa Kulembeka!Go and look it up!



Taja jina la show,dates,location na wahusika....Na brother,member wa event crew anapata 150milioni?Get the f.uck outta here!


Brother Mbudya island kila mtu hapa anaenda,ni boti na wala sio yatchs!

Stop lying!

Boti za Mbudya kwa siku zinakusanya kiasi gani vile?Rubbish.....Even Uber driver racks in more than Mbudya boat will ever make in a day!Hebu dont make people laugh here!

Dola 2,000USD?Man,cant you just stop lying this much!Boat ya Mbudya inakodishwa kwa dola 2,000USD?Aisee it shows how shameful you AY people are!



Hakimbizani na mziki wakati jana katoa single na hii kiki kaitoa ili kujenga buzz na hako ka-single kake!

You think people are stupid?

Na biashara unayosema iliyotoa pesa nyingi sana ni hizo boat za kwenda mbudya zinazonuka samaki na zimetoboka ndio biashara really?

Can you mention anything else?

Wekeni na evidence please!
You Sound like W. J. Malecela
 
Back
Top Bottom