AY akiri kumiliki nyumba Marekani

[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
huyu jamaa aliliwa KABANG, kwa sababu machalii walimkuta anasongesha guy mmoja hivi, ndio alipoundiwa a half marathon ya watu kula KABANG, sasa zote ni hasira, ila ndio hivyo tena haisaidii kitu watu walishajiungaga kifurushi
Hakuna hukumu yoyote ishatoka na hakuna mtu kalipwa chochote!

Na plus,kama madai ni 2.1Bilioni,then wagawane watu watatu halafu mmoja wao akanunue nyumba ya 1.5Bilion Los Angeles California?Mlisoma hesabu chooni?

You people what are you smoking?
 
Haaahaaa asee[emoji23] [emoji23]
 
What are the numbers that aren't adding up ?
 
Haahaaa.....daaaah[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mbavu zangu asee[emoji23] [emoji23]
 
AY una hela kibongobongo ndio,
Out of box, binti umeoa mnyarwanda ni mkimbizi kule miaka kibao,ana apartment na unakaa kwake.
 
Mkuu nkukosoe kwanza,,Mana povu limekutoka balsa,Ay kasoma Ifunda Tech na mwalimu Milinga ndo alikua wa sanaa
 
Afu na nyie wabongo muache kudanganywa mambo Madogo kama haya..wasanii wakubwa wazawa Wa us wenyewe kumiliki nyumba ni mtihani itakuwa huyu asie hata na Kiwanja kibada au gezaulole!?apartment sawa ila nyumba nops...juzi nmeona card b anaonesha nyumba insta anakwambia it was her childhood dream kumnunulia mamake nyumba tena anajisifia kwamba it is from her own money she has made..imagine Huyo ni msanii Wa marekani anajisikia fahari kununua nyumba tena ambaye ana treand Kwa sasa duniani.at aache uongo bhana sisemi kwamba haweI kununua ila Kwa pesa ipi!?
 
Aisee nyegezi wakinunua nyumba hata malawi au nairobi basi makelele mwanzo mwisho
 
Hawajawai kulipwa hiyo pesa...kesi bado iko court of appeal..na hata kama wakilipwa that money cannot afford to buy that house..kumbuka wako watatu and agreement yao msando alikua achukua 50 percent ya malipo sababu yeye ndo aliwapa mchongo they knew nothing kuhusu hizo claims..
 
Ahahaaah!
Kiranga bhana!!!
 
too much hate,wachawi ni wengi sana bongo
 
You Sound like W. J. Malecela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…