AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Nilicheki conversation yak twitter anasema aliandaa show mwaka 2005 akalipwa m150+ na pia alikua anahusika kuwaleta wakina EVE, Fat joe alikua anachukua m100+
Dah....[emoji41]
Cc: TRA
 
Lakini ni ukweli kuwa:

Sallam SK na AY kuna biashara wanafanya pamoja tena kwa muda mrefu tu.

Clouds fm wamekuwa wakimtumia Sallam SK kuleta wasanii wakubwa hapa nchini, case study ni Davido mpaka akakutana na Diamond wakafanya My Number one ( rmx ) na badaye kuamua kufanya kazi pamoja kama manager na msanii.

Hivyo hisia zako kwamba Clouds wamekuwa wakileta wasanii wakubwa bila udalali siyo za kweli.
 
Mbona povu sana mkuu au maisha yamebana ukaamua upumue kupitia thread hii ambayo kimsingi haikuhusu hahahaha
 
Nilicheki conversation yak twitter anasema aliandaa show mwaka 2005 akalipwa m150+ na pia alikua anahusika kuwaleta wakina EVE, Fat joe alikua anachukua m100+
Wabongo msiwe vilaza kiasi hicho,Ay alifanya show ya million 150 wapi??? Mkoa gani? Kiingilio kilikuwa sh.ngapi??? Wabongo muwe mnajiongeza basi,
 
Hichi ndicho alichosema mkuu @nukta5Jifunze kusoma uelewe na upinge ukiwa na ushahidi. ALIANDAA SHOO.... nathani unaelewa hapoUkweli wako ni upi na uongo wake ni upi
Hakuna msanii Tanzania ambaye amewahi kufanya show kwa million150 bongo, wabongo msiwe vilaza kiasi hicho, hiyo show ilikuwa mkoa gani na kiingilio kilikuwa sh ngap
 
Clouds wamewaleta wasanii wakubwa kutoka Marekani miaka yoooote kipindi hicho huyo SK yuko anasoma secondary forest hill moro huko


Ije kua kwa bwana mdogo davido wa hapo Naija ndio wapate connection kupitia kwa SK.

IMPOSSIBLE
 
Mbona povu mjomba
 
Sasa kama unasema humjui kwa nini unabishana?hujioni kama ni mjinga?

Simjui in a personal level.....Na anavyo-claim anavyo ni vitu public ambavyo ni cross-checkable kabisa....

Angesema ana upele matakoni hiyo anaweza prove mwenyewe coz yeye ndio ana hayo matako kayabeba...Ila akisema ana gari,ni something public na inaweza kua verifiable!

Na kumbuka AY ni public figure in a way so stop unaaa!
 
Una bifu nae nn mzee mbona povu.Kwanza umekosea AY hajasoma Iyunga kasoma Ifunda.
 
Una bifu nae nn mzee mbona povu.Kwanza umekosea AY hajasoma Iyunga kasoma Ifunda.
Kasoma Ifunda na nimekubali nimekosea...Iyunga na Ifunda ni competitive schools,ni watani wa jadi,na majina yanaanzia na I,nika confuse,ni really Ifunda na sio Iyunga...

To add hapo nikasema alisoma na mshikaji wangu darasa moja kabisa sasa hivi ni marehemu Kulembeka Yollam,kama unabisha go and research this!
 
Ndugu kama ulikua hujui Ay ni broker wa wasanii wote wa kimataifa wanaukuja bongo na afrika mashariki, hata huyo mond bado anatumia mtandao wa Ay kufikia malengo yake.
 
Ndugu kama ulikua hujui Ay ni broker wa wasanii wote wa kimataifa wanaukuja bongo na afrika mashariki, hata huyo mond bado anatumia mtandao wa Ay kufikia malengo yake.

Broker?

Niggaz,are you high?

AY has never been connected like Diamond is....na kua broker,what do you really mean?

Unajua how to book an international artist for a show or collaboration?Unajua process?

Na hiyo process inapitia kwa AY?Are you thinking using you butt or your head?

You people are in drugs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…