Dooh.Lol, mwanaume kusubiri mwanaume mwenzio akutajie mali zake nao ni umama...
Hebu fata ushauri wangu ule lil bro.
Ushauri mzuri, ila ushauri huu ungemfimishia mmiliki wa JF.Ishi maisha yako bro, ukifatilia ya mwenzio utalala mlango wazi, mjini kulala na njaa umependa na sio kila mishe uiweke wazi.
Na AY akupe address yake ili tu akuridhishe wewe kwa lipi sasa, kwa ubishi wa huyo jamaa hata akipewa address na kuthibitisha bado atahoji pesa kapata wapi maana kama kishaanza kuzichambua biashara zake sio ajabu.....Hapa unasema AY hajapatikana,jitihada zinaendelea.
Alafu unamshangaa mtu anayekuuliza kuhusu physical address ya nyumba,wakati ni wewe mwenyewe umesema unafanya jitihada za kumtafuta AY.
Kwangu AY kuwa na nyumba Marekani wala sio big deal.
Nimevutiwa na hii convo yenu na mtu anayetaka uthibitisho,so najaribu kufuatilia nione mtaishia wapi.
Ndio maana nimekuambia wewe unayesema jitihada za kumtafuta AY zinafanyika,basi kweli zifanyike hiyo physical address ya nyumba ya AY ipatikane.
Wewe ndio unayebishania hili jambo,sio mimi.
Raha ya kufatilia maisha ya mtu uwe unamfatilia yeye na sio ufatilie kupitia wengine, sasa unataka wana jf wakupe address ya nyumba ya AY, seriously??Ushauri mzuri, ila ushauri huu ungemfimishia mmiliki wa JF.
Inabidi afute ili jukwaa,kwasababu ili jukwaa linafanya watu wafuatilie habari za maisha ya watu maarufu ndani na nje ya nchi.
Au labda kama haujui maana ya hili jukwaa.
Sorry, sikumaanisha kukudhalilisha ila unaweza kujihisi umedhalilishwa kwa sababu ya kujidhalilisha, lol.Dooh.
Yamekua hayo tena!?
Haya bhana, ngoja nikuache.
Coz siwezi kukubali unidhalilishe kwasababu ya nyumba ya AY Marekani.
Endelea na uliyekua unabishana nae.
Ahahaaah.Raha ya kufatilia maisha ya mtu uwe unamfatilia yeye na sio ufatilie kupitia wengine, sasa unataka wana jf wakupe address ya nyumba ya AY, seriously??
Jukwaa lipo mahala pake ndio maana habari mbalimbali huletwa na watu tunachangia kama hivi ila wachangiaji wachache ndio hufanya mambo kinyumenyume.
Uongo, Uongo, Uongo je UKWELI wako uko wapi??
CERTIFIED PUBLIC HATERSina bifu nae as an Individual..
He is a very good rapper...I like his music..
Ila kutoka public na kuanza KUDANGANYA umma hapo ndio kaniboa kabisa!
Kama mziki umemshinda yanini na kiki za kusema UONGO namna hii kama Hamorapa?
Kibaya zaidi he is very old for these types of stupid games,hizi ni size ya Hamorapa not him...It makes him really look stupid below retard line!
Mzazi wako!CERTIFIED PUBLIC HATER
heheheh
Umekazania "uongo" utadhani wewe huwa unasema ukweli kila siku kila dakikaNimetukana sababu watu wazima wanaposema UONGO ni shame!
Ilikua hakuna haja ya AY kusema UONGO like this,for what hasa?Ili iweje hasa?Ku-push mziki wake?
Rubbish!
Eti huwezi kujua pesa ya mtu,ni kweli ila UONGO unajulikana,hakuna watoto wadogo hapa!
Please do not insult our intelliegence,we are offended by these horrendous LIES!
Ndio hapo sasa iweje yeye alie lie yaani kamvalia kibwebwe jamaa utadhani wale wanawake wa vigodoroIwe kweli au uongo kwanini unateseka?
Eti mitumbwi jamaa unadharau sana .Hajanunua nyumba LA mzee...
Tukaenda na numbers,tukajua he can never afford that..
Mkatumia kesi yao na Tigo labda kapatia hela mle,tukaenda na numbers bado ika-prove he will never afford a house in LA!
Biashara zake,so far ni event management alizofanya na clouds,na mgao wake sasa..numbers zikakataa kabisa!
Biashara zake zingine?Ni very low level businesses za kuokoteza senti hapa na pale..Eti boti za kubeba watu kutoka Jangwani Mbezi Beach kwenda Mbudya,brother zile ni boti au mitumbwi?Na anaokota hela za nauli kiasi gani?You people are on cocaine kabisa!
Umetoa outlandish claims unamiliki mali kadhaa,onesha umiliki wako.Hutaki,then nina haki kabisa ya kusema ni UONGO!..Sasa sijui kwanini mtu aki-exercise haki yake halali wewe inakuuma nini?Una pepo?Umekazania "uongo" utadhani wewe huwa unasema ukweli kila siku kila dakika
ID yangu ikiwa anonymous haikupi wewe haki ya kudanganya....Afterall,kama umedanganya just own it,sema nimedanganya!Sio unatafuta visingizio!Hio ID yako tu ni uongo tosha kwanini usitumie jina lako halisi tukujue
Eti mitumbwi jamaa unadharau sana .
Si ajabu unakula kwa mama au shemeji halafu unaleta dharau hivyo
Mkuu huyu jamaa hawezi kukuelewa mo nahisi kachanganyikiwa na maisha yake mpuuzi kweli kweliMkuu unaweza thibitisha ikiwa AY kadanganya? Unajua biashara zake nyingine anazofanya nje ya music industry?
Kumiliki nyumba US isikupe woga, zipo nyumba za bei nafuu ambazo hata wewe mbongo ukiwa na biashara ya kati waweza miliki, usiishie tu kutoa maneno ya kejeli bila uthibitisho.
Wamelipwa kimya kimya we fuatilia vizuri.Mkuu
Kwa rule of thumb tu kwa jinsi wanapenda sifa hawa watu ungekuta zishawekwa habari kwenye media au hata instagram!
Judgement ni kitu cha wazi,na mahakamani waandishi wa habari wanashinda pale..Na hii ilikua ni high profile case including entertainers,ni juicy news hawawezi ziacha hizi habari!
Another strong point ni kuhusu wasanii wengine,wangekimbia kufungua na wao haya makesi,Tigo wangehama nchi eti!Tigo walitumia nyimbo za wasanii wote kabisa,sema AY na MwanaFA na kile kijamaa wakaamua ku-press charges walijua kuna hela watavuna!
Last time I heard kwenye news ni kua Tigo walikata rufaa!...
Tuseme labda wali-settle out of court,na kumbuka walikua watatu,AY,MwanaFA na Msando...
Na pesa waliyokua wanategemea ni nearly 3 Bilion kama wangeshinda kesi....
Katika settling out of court watakubalia hela ndogo zaidi ya hiyo,lets say 2Bilion..
Wakilipwa ukitoa gharama za kesi,gharama za ma-producers,publishers,etc inaweza baki 1.5Bilion wakagawana 0.5Bilion each....
Haya sasa,kwa milion 500 AY anaweza nunua nyumba ya USD 600,000 katika jiji la Los Angeles USA kweli kama sio uongo mtakatifu huu?
Kwani Unateseka mkuu?!? Sio kwa 'Kleensoft' hiiMkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Wamelipwa kimya kimya we fuatilia vizuri.
Mambo ya nyumba anayajua yeye mwenyewe. Maybe ana vyanzo vingine vya mapato pia. Ni siri yake.Kimya,kimya?
Siamini hata kidogo..
Na let say wamelipwa kweli.....2.18Bilion TZS gawanya kwa watu watatu ,ondoa kodi,gharama za kesi,etc...AY abakie na chenji ya kuweza kununua jumba la 1.5Bilioni California USA?
Tangu lini ugawanye 2.18Bilion kwa watu watatu then ubakie na 1.5Bilioni?Hivi hawa watu hesabu walisomea chooni?
Mambo ya nyumba anayajua yeye mwenyewe. Maybe ana vyanzo vingine vya mapato pia. Ni siri yake.
Ila malipo wamelipwa.