Sina chuki nae,mimi na-expose uongo wa kitoto sana kuhusu hii stupid kiki!
Ni Ifunda Tech,thats my poor part on my side.Tena alisoma na mwanangu marehemu anaitwa Kulembeka!Go and look it up!
Taja jina la show,dates,location na wahusika....Na brother,member wa event crew anapata 150milioni?Get the f.uck outta here!
Brother Mbudya island kila mtu hapa anaenda,ni boti na wala sio yatchs!
Stop lying!
Boti za Mbudya kwa siku zinakusanya kiasi gani vile?Rubbish.....Even Uber driver racks in more than Mbudya boat will ever make in a day!Hebu dont make people laugh here!
Dola 2,000USD?Man,cant you just stop lying this much!Boat ya Mbudya inakodishwa kwa dola 2,000USD?Aisee it shows how shameful you AY people are!
Hakimbizani na mziki wakati jana katoa single na hii kiki kaitoa ili kujenga buzz na hako ka-single kake!
You think people are stupid?
Na biashara unayosema iliyotoa pesa nyingi sana ni hizo boat za kwenda mbudya zinazonuka samaki na zimetoboka ndio biashara really?
Can you mention anything else?
Wekeni na evidence please!