kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
B Dozen bado yupo, Mungu ampe maisha marefu watu waendelee kupumzika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACHA UJINGA ACHA UJINGA ACHA UJINGA kumchukia Mwanaume mwenzio anayetafuta kwa jasho lake ni UNAHA na wewe tafuta zako sio kila sehemu unamponda jamaa kama Mungu hajakujalia wewe basi usiwaseme wenye nazo ACHA UJINGA ACHA UJINGA ACHA UJINGAMkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Mbona Rufaa hiyo ilikataliwa na redio zilitangaza na baadhi ya magazeti hata blogs moja utaona hata huyu aliandikaThis is a LIE!
Tupe case number hapa,mengine tutacheck wenyewe!
Iweje walipwe wote,AY ndio atakate kwa show offs nyingi na mbwembwe nyingi sana ila FA na Msando wanakula vumbi?
Why,why,why?
FA anakula vumbi,Msando na sifa zake zote anakula vumbi,eti ghafla bin vuu AY ndie tajiri?
GTFOH!
Hiyo ni apt apartment za watu wengi kukaa, au condo. Aka condominiumMsanii tajiri ambae huwa ni msiri sana wa mafanikio yake leo amekiri kumiliki nyumba Amerika pia akaongezea soon atahamishia makazi yake pande za States. Aliyaseme hayo akiwa clouds fm radio wakati anazzindua wimbo wake wa Safari. Hongera sana mzee wa commercial
View attachment 949326
Haters!!!Nyumba au apartment?
AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!
Chezea Tutsi ni high maintenance women...
AY na jumba United States of America wapi na wapi?
Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?
Kiki za kizamani sana hizi!
Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
We unakitu na AY! Sio bure!!! Unaongea kwa uchungu kama wewe ndio umedanganyaMwanamke huyo wa Kinyarwanda hawezi kumshinda nguvu kwani na yeye ni wa huko huko, mama yake ni myarwanda aliyeolewa na msokile mmoja akiitwa Yesaya Mwakipagema!!!
Huyu kijana hana ubavu wa kumiliki huo mjengo huko USA alipiga nao picha tu; hapo Kigamboni tu aliweka rehani nyumba yake benki mpaka sasa ameshindwa kulipa deni na bila shaka itapigwa mnada!!
Tupe ushahidi wa unayoongea acha blah blah na chuki zisizo na maana. Ww ulikua meneja wake mpk unakataa kiasi alichokua anapata? au ww ni mtu wa karibu yake sana kujua bank account yake ina kiasi gani??Mzee,sijui kwanini mtu aki-refute lies anaonekana hater!
tangu lini mtu muongo akiwekwa wazi anajitetea aliemuweka wazi ni hater?
Tangu lini AY akalipwa milioni 150 kwa show?Ni pure lies!
Kwanini watu waongo namna hii?Ukisema ukweli kuna ubaya gani?
Yanabo sana. Yani mtu anatoa story kijiweni halafu anajifanya anamjua mtu ndani njeWe unakitu na AY! Sio bure!!! Unaongea kwa uchungu kama wewe ndio umedanganya
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Tigo walimshinda Manji itakuwa AY?Hawajalipwa hata mia....Wangelipwa ingekua ni breaking news TZ nzima!
Walikata rufaa,na inavyokwenda,wanaweza settle outta court au wakashindwa all together!
Tigo wakishindwa ni precedence wanamziki wote watafungua na wao kesi wataifungia Tigo mbali,kuna janja wanacheza ngoma ife!
Mbona Rufaa hiyo ilikataliwa na redio zilitangaza na baadhi ya magazeti hata blogs moja utaona hata huyu aliandikaTigo walimshinda Manji itakuwa AY?
..jamaa wabaya sana wale kwa kesi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Inaelekea una tatizo na AY personallyMkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Hapo kwenye million 150 hata Mimi nakataa,Ay alifanya show ya million 150 wapi??? Kiingilio ilikuwa sh.ngap?Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
It always boil down to reality here:
Katoa wimbo leo unaitwa SAFARI,ndio unajengewa buzz na kiki zote hizi za UONGO...
Unajua mkuu,AY anazidi kuonekana mpumbavu kwa kutumia these old means kuuza kazi yake!
Na he is even stupidier kwa kutumia UONGO ,ku-claim ana vitu ambavyo hana ilimradi kujenga buzz ya kipumbavu namna hii!
He is just a a naive veteran musician trying hard to remain relevant kwa kusema UONGO.
Ni christmas imefika,ameona atoe single huwenda ikawa hot akapata shows here and there akapata kibarua aka-feed his family which is respectable,ila sio kwa kusema uongo namna hii!
I guess hata kutoa video yake imemshinda,katoa audio pekee yake,na what I do know watu wataitupa kapuni right quick!
View attachment 949423
Wewe huna unachojua fatilia AY,FA na Msando nwameshalipwa, hiyo rufani ilitupwa na AY,Fa Wakafungua case ya kutaka maafisa wa tigo na mali zao zikamatwe.... wameshalipwa ndio maana wanaitwa mabilionea..Mkuu
Habari za kulipwa umezipatia wapi?
Last time,Tigo walikata rufaa!
Sana sana uniambie labda walisettle out of court!
Na kumbuka ndani ya kesi walikua wanadai kitu kama 3Bilioni...nje ya mahakama ni lazima wapate chini ya hiyo,tuseme 2Bilioni....
Sasa hiyo wagawane watu watatu,yaani AY,Msando,MwanaFA,pia Kodi,Producers wa hiyo miziki,gharama za kesi,etc!Ay anawezapata 500mill net...
ndio ukanunue nyumba ya 600,000USD kwa upumbavu wa 500mil TZS?Hivi nyumba ya 1.5Bilioni hua inanunuliwa kwa 500milioni?Mlienda shule wapi nyie?
Na ujue ni kiki,sio yeye mwenyewe tu ndio angelipwa,wangelipwa wote,mbona Msando na MwanaFA wanasaga vumbi tu yeye ndio awe mambo safi na show off nyingi namna hii kama sio kiki ya hiyo single ya SAFARI?
Go and lie to kids,we are grown ass men here!
Huyu mbeba box ameamua tu kuwatoa jasho mkuu hapo alipo asisinzie akapitiwa akakosa tender za box...Mbona Rufaa hiyo ilikataliwa na redio zilitangaza na baadhi ya magazeti hata blogs moja utaona hata huyu aliandika
Mahakama Kuu yaamuru Tigo kuwalipa AY, FA Tsh Bilioni 2.1 unless unataka kuendeleza ubishi tu
na thread ya JF hii hapa
AY na Mwana FA washinda rufaa yao dhidi ya Tigo, sasa kulipwa Billioni 2.1 - JamiiForums