Mbona Rufaa hiyo ilikataliwa na redio zilitangaza na baadhi ya magazeti hata blogs moja utaona hata huyu aliandika
Mahakama Kuu yaamuru Tigo kuwalipa AY, FA Tsh Bilioni 2.1 unless unataka kuendeleza ubishi tu
na thread ya JF hii hapa
AY na Mwana FA washinda rufaa yao dhidi ya Tigo, sasa kulipwa Billioni 2.1 - JamiiForums
Unajua kuna watu aina mbili. Kuna wale ambao wanahisi kila mtu anafaa kuwa masikini kama wao na kuna ambao wanaofanikiwa wana wainsipire kufight.Huyu mbeba box ameamua tu kuwatoa jasho mkuu hapo alipo asisinzie akapitiwa akakosa tender za box...
Ujinga sana mwanaume kukakamaa mishipa ya shingo kisa ku-diss mafanikio ya mwanaume mwenzake.
Aisee we jamaaa una PhD ya u haterSina chuki nae,mimi na-expose uongo wa kitoto sana kuhusu hii stupid kiki!
Ni Ifunda Tech,thats my poor part on my side.Tena alisoma na mwanangu marehemu anaitwa Kulembeka!Go and look it up!
Taja jina la show,dates,location na wahusika....Na brother,member wa event crew anapata 150milioni?Get the f.uck outta here!
Brother Mbudya island kila mtu hapa anaenda,ni boti na wala sio yatchs!
Stop lying!
Boti za Mbudya kwa siku zinakusanya kiasi gani vile?Rubbish.....Even Uber driver racks in more than Mbudya boat will ever make in a day!Hebu dont make people laugh here!
Dola 2,000USD?Man,cant you just stop lying this much!Boat ya Mbudya inakodishwa kwa dola 2,000USD?Aisee it shows how shameful you AY people are!
Hakimbizani na mziki wakati jana katoa single na hii kiki kaitoa ili kujenga buzz na hako ka-single kake!
You think people are stupid?
Na biashara unayosema iliyotoa pesa nyingi sana ni hizo boat za kwenda mbudya zinazonuka samaki na zimetoboka ndio biashara really?
Can you mention anything else?
Wekeni na evidence please!
AY hawezi kununua nyumba Marekani, huo ndiyo ukweli, Marekani siyo sawa na kutoka Kigoma na kuja kununua nyumba Tandika, ni ngumu sana kununua nyumba Marekani
Nyumba ya Ay anayosema kaikodi kwa mkataba na baada ya miaka kadhaa ataiachia nyumba
We acha hizo porojo.Mbona Rufaa hiyo ilikataliwa na redio zilitangaza na baadhi ya magazeti hata blogs moja utaona hata huyu aliandika
Mahakama Kuu yaamuru Tigo kuwalipa AY, FA Tsh Bilioni 2.1 unless unataka kuendeleza ubishi tu
na thread ya JF hii hapa
AY na Mwana FA washinda rufaa yao dhidi ya Tigo, sasa kulipwa Billioni 2.1 - JamiiForums
Mkuu kama hufahamu kitu bora upige kimya. Baada ya hukumu hiyo walifungua kesi ya kuexecute hiyo hukumu ambapo walipewa muda tigo iwalipe otherwise washikirie mali zao na kuzipga mnada.We acha hizo porojo.
Je AY amelipwa kama Mahakama ilivoamuru?
Hata Manji alipewa hisa 90% ya TiGO.
Kasota nayo miaka zaidi ya saba afu kaporwa tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ndio TiGO.
AY atasubiri sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ay hawezi kununua nyumba state hutaki kuamini basi chief.... Case closed.....................Mzee unaweza kutuwekea hapa ushahidi wa haya uyasemayo?may be tweet ya dalali aliyemkutanisha na mwenye nyumba aliyopanga?
Maana hapa tunasoma AY kasema mwenyewe kwa kinywa chake kwamba anamiliki nyumba USA sasa Great Thinkers tunaweza tusikuelewe kwa huto tumistari twako tuwili ulitoandika hapo juu.
Marekani wanakataa maskini kama una ela yako ya kwenda ukanunua nyumba mbona wanakupokea tu.... Marekani ni sehemu rahisi sana kuingia as long as una pesa kitu amabcho hawataki ni maskini kwenda kuongeza umaskini kule. In really sense hakuna nchi ambayo imeendelea inayokataa wanaohamia wenye pesa, Denmark mwaka huu walikuwa wanataka wahamiaji ili mradi uwe na ela isiyopungua dollar 60,000 kwa ajili ya makazi.AY hawezi kununua nyumba Marekani, huo ndiyo ukweli, Marekani siyo sawa na kutoka Kigoma na kuja kununua nyumba Tandika, ni ngumu sana kununua nyumba Marekani
Nyumba ya Ay anayosema kaikodi kwa mkataba na baada ya miaka kadhaa ataiachia nyumba
Tangu lini kushika msema UONGO unaonekana hater?Aisee we jamaaa una PhD ya u hater
UONGO!Wewe huna unachojua fatilia AY,FA na Msando nwameshalipwa, hiyo rufani ilitupwa na AY,Fa Wakafungua case ya kutaka maafisa wa tigo na mali zao zikamatwe.... wameshalipwa ndio maana wanaitwa mabilionea..
Nimegundua una chuki na AY maana hiyo nyumba unayosema ana tafutia kiki hakuisema leo na watu hawajaijua leo fatilia alipost imeshapita miezi zaidi ya sita kama si mitano
Unaonekana hata sio mfuatiliaji wa masuala ya burudani, hii story ya AY kumiliki nyumba states imetoka more than 6 or 4 months ago..
Tupe ushahidi wa unayoongea acha blah blah na chuki zisizo na maana. Ww ulikua meneja wake mpk unakataa kiasi alichokua anapata? au ww ni mtu wa karibu yake sana kujua bank account yake ina kiasi gani??
Inaelekea una tatizo na AY personally
Mbona Rufaa hiyo ilikataliwa na redio zilitangaza na baadhi ya magazeti hata blogs moja utaona hata huyu aliandika
Mahakama Kuu yaamuru Tigo kuwalipa AY, FA Tsh Bilioni 2.1 unless unataka kuendeleza ubishi tu
na thread ya JF hii hapa
AY na Mwana FA washinda rufaa yao dhidi ya Tigo, sasa kulipwa Billioni 2.1 - JamiiForums
ACHA UJINGA ACHA UJINGA ACHA UJINGA kumchukia Mwanaume mwenzio anayetafuta kwa jasho lake ni UNAHA na wewe tafuta zako sio kila sehemu unamponda jamaa kama Mungu hajakujalia wewe basi usiwaseme wenye nazo ACHA UJINGA ACHA UJINGA ACHA UJINGA
Ile hela walichukua....
through guarnishee order...
Story za vijiweni,Joe Kusaga aliishi USA miaka 10?Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Kumiliki nyumba US sio mchezo mchezo....alafu kuna utitiri wa kodi...kama mjengo ni wake....hongera kwake lkn kama ni kiki basi jamaa ni bonge la fala....
Huu ndio wivu wenyewe sasa.
Huwezi kumpinga mtu kama humjui hapa kuna mawili la kwanza mnajuana kabisaaa na Ay na kuna kitu alikufanyia ndo maana humsahau katika akili yako na kama humjui kabisaa utakuwa ni mwehu mkubwa sana kumpinga wakati humjui so katika haya kuna moja lazima unalo kwakeSijachukia mtu...Nachukia jitu zima lenye mvi hadi za matakoni linadanganya umma wa watu milioni 55 sababu ya ka-single alikokatoa kama Hamorapa ili apate kiki...
Is AY this low?
Ngendembwe tupu!
Kila hesabu tulizopiga zinamkataa kabisa....Numbers dont lie but AY lies!