AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Lol, me naona AY angetafutwa wakae chini na mshikaji wamalize tofauti zao maana duuh
Itakuwa AY aliwazingua, teh teh maana kuna sehemu niliwahi kuona jamaa kamparamia A.Y dodoma club moja,Zee akamzingua like "nakujua? "Jamaa kajibu 'hapana" AY:Sasa mbona unakuja na mambo ya kienyeji hatujuani na hatuna appointment" Labda yule jamaa ndio huyu lol.
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Hater
 
Kweli kila anayepata hela anakimbilia ulaya, ila akifa anazikwa Africa!
 
Hizi ni akili za kimaskini

Akili za kitajiri unazo wewe muoga vumbi mwenzangu?

Wewe ndio unajitia una moral authority za kuita wenzako wana akili za kimasikini,sijui ulitupima lini?

Daktari wa mavi choroni mwenye kuangali fictional internet characters kama Wyatt na kuwafanyia clinical diagnosis hapo hapo na kutoa majibu hapo eti wana akili za kimasikini???

Hivi una mapepo?
 
Akili za kitajiri unazo wewe muoga vumbi mwenzangu?

Wewe ndio unajitia una moral authority za kuita wenzako wana akili za kimasikini,sijui ulitupima lini?

Daktari wa mavi choroni mwenye kuangali fictional internet characters kama Wyatt na kuwafanyia clinical diagnosis hapo hapo na kutoa majibu hapo eti wana akili za kimasikini???

Hivi una mapepo?

Hahahaaa you are on fire my guy!
 
Akili za kitajiri unazo wewe muoga vumbi mwenzangu?

Wewe ndio unajitia una moral authority za kuita wenzako wana akili za kimasikini,sijui ulitupima lini?

Daktari wa mavi choroni mwenye kuangali fictional internet characters kama Wyatt na kuwafanyia clinical diagnosis hapo hapo na kutoa majibu hapo eti wana akili za kimasikini???

Hivi una mapepo?
Ooh basi sawa!
 
Msanii tajiri ambae huwa ni msiri sana wa mafanikio yake leo amekiri kumiliki nyumba Amerika pia akaongezea soon atahamishia makazi yake pande za States. Aliyaseme hayo akiwa clouds fm radio wakati anazzindua wimbo wake wa Safari. Hongera sana mzee wa commercial
View attachment 949326
najiribu kujiuliza domo kaya angekuwa yeye ndio ana nyumba huko mpaka kuku wetu wangeenda kubakiwa huko,kijana ana uchu yule kama nyegele
 
Tangu nizaliwe sijawahi kutana na hater kama huyu jamaa
Wala sio hater nimekuja kurealize mida hii, jamaa alikua na stress akaamua kumalizia kwenye post hii pages za mwanzo sasa zimeisha anakumbana na quotes kama zote yaan ikabidi akaze asionekane kireee, lol

Angalia anaamini nyumba iliyosemwa amenunua ndio hiyo hapo kwenye picha, anasahau vile waandishi wa habari huweka chumvi kuvutia taarifa zao, mara tangu lini AY akawa na watoto wawili wakubwa amesahau hata huyo anayemsema ni mke wa AY sio mkewe, kwa hiyo ni mtu anayebisha bila kujua anabisha nini,

Tumuache apumzike maana anaweza kumeza simu huko alipo.
 
Itakuwa AY aliwazingua, teh teh maana kuna sehemu niliwahi kuona jamaa kamparamia A.Y dodoma club moja,Zee akamzingua like "nakujua? "Jamaa kajibu 'hapana" AY:Sasa mbona unakuja na mambo ya kienyeji hatujuani na hatuna appointment" Labda yule jamaa ndio huyu lol.
Lol, nahisi ni yeye hahaha AY amekua homa ya jamii forum, najaribu kufanya nae mawasiliano ili aje alete address jamaa yetu akafanye utafiti wake kujua kama kweli ana mjengo au hana.
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Ay alisomaga Ifunda Tech sio Iyunga mkuu .
Mbona unaandika kwa hasira sana .
 
Ay alisomaga Ifunda Tech sio Iyunga mkuu .
Mbona unaandika kwa hasira sana .

Jaribu kusoma mtiririko wa mjadala kabla ya kucomment maana unaweza uliza jambo ambalo limeshatolewa ufafanuzi.

Hiyo ishu ya Iyunga amekili alikosea ni Ifunda Tech na kasoma na rafiki yake.
 
Broker?

Niggaz,are you high?

AY has never been connected like Diamond is....na kua broker,what do you really mean?

Unajua how to book an international artist for a show or collaboration?Unajua process?

Na hiyo process inapitia kwa AY?Are you thinking using you butt or your head?

You people are in drugs!
Ahaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kuanzia leo nakufolo
 
Hajanunua nyumba LA mzee...

Tukaenda na numbers,tukajua he can never afford that..

Mkatumia kesi yao na Tigo labda kapatia hela mle,tukaenda na numbers bado ika-prove he will never afford a house in LA!

Biashara zake,so far ni event management alizofanya na clouds,na mgao wake sasa..numbers zikakataa kabisa!

Biashara zake zingine?Ni very low level businesses za kuokoteza senti hapa na pale..Eti boti za kubeba watu kutoka Jangwani Mbezi Beach kwenda Mbudya,brother zile ni boti au mitumbwi?Na anaokota hela za nauli kiasi gani?You people are on cocaine kabisa!
Haahaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mzee wa commercial hebu pitia hapa!
 
Back
Top Bottom